Ewe msichana, kwanini uzae kabla ya kuolewa?

Ewe msichana, kwanini uzae kabla ya kuolewa?

Hakuna mwanamke anayeamua kuzaa tu bila kuolewa. Hutokea tu km ajali na siyo km wao wanavyosema wameamua tu.
Hakuna mwanamke anayependa kuwa single mother hutokea km ajali tu.
 
Kuzaa ndani au nje ya ndoa ni maamuzi ya mtu,

Ila hata mwanamke akiishi na mtoto peke yake huwa itafikia tu mahali atatamani kuishi na MUME.

mara nyingi hata miaka miwili-mitatu haipiti.

Nafikiri ni kwasababu ni Sheria/Agizo la Mungu kuwa Mume aishi na Mke.
 
Sasa mamy, huyo mwanaume unayemtafuta wa kuzaa naye mtaoana? Au naye ni Kingono?
issue ipo hivi nilipost kutafuta mume wakaja watu wana familia zao wanataka michepuko siamini tena mtu humu baby dady nitapata tu mtaani mbona wengi?
humu watu hawana heshima kwa mwanamke wanaona kama tunajiuza hivi
 
issue ipo hivi nilipost kutafuta mume wakaja watu wana familia zao wanataka michepuko siamini tena mtu humu baby dady nitapata tu mtaani mbona wengi?
humu watu hawana heshima kwa mwanamke wanaona kama tunajiuza hivi
Okay, Mola akupe hitaji la moyo wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom