Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 8,273
- 25,297
Habari wakuu,
Kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana walioamua kuzaa wenyewe baada ya kukosa wa kuwaoa, wenyewe hujiita 'single mothers'.
Siku moja tukiwa katika kujumuika sehemu, msichana mmoja kati yao akauliza; nataka kuzaa maana umri umeenda na sijapata wa kunioa.
Msichana mwingine akasema mimi sitaki kuolewa, eti sababu nataka kuwa huru na mambo yangu.
Karibuni kwa michango yenu
Mbarikiwe...
Donatila
Kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana walioamua kuzaa wenyewe baada ya kukosa wa kuwaoa, wenyewe hujiita 'single mothers'.
Siku moja tukiwa katika kujumuika sehemu, msichana mmoja kati yao akauliza; nataka kuzaa maana umri umeenda na sijapata wa kunioa.
Msichana mwingine akasema mimi sitaki kuolewa, eti sababu nataka kuwa huru na mambo yangu.
Karibuni kwa michango yenu
Mbarikiwe...
Donatila