Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,029
- 52,507
siri yangu na Mungu wanguUnataka mume wa aina gani?
siri yangu na Mungu wanguUnataka mume wa aina gani?
MUNGU ANAONADah navyompendaga miss natafuta hata Mungu ananiona. Ila yeye hata hajui
WANAJIJUA WENYEWEUmenitisha mkuu, kwahiyo wengine sio watu ni nani?
Dah navyompendaga miss natafuta hata Mungu ananiona. Ila yeye hata hajui
Miss Natafuta: umepata mume njoo harakanipo serias natafuta mwanaume wa kuzaa nae
akitokea mzuri muelewa mwenye utu nishajitoa muhanga
nipo serias natafuta mwanaume wa kuzaa nae
akitokea mzuri muelewa mwenye utu nishajitoa muhanga
Nisaidie aseee maana haelewi
KUNA HAJA GANI YA KUTEMBEA NA MUME WA MTU SI BORA UZAE TUHujui unachotafuta binti, ushatoaga thread humu ya kutafuta mchumba, wenyewe tukajaa pm kwako, ukarudi na mrejesho hapa ooh wamekuja mababa na mavitambi yao, ooh nilikuwa natania tu sikuwa sirias, tukueleweje?
Hahaha.. eti mababa na mavitambi yao, mkuu umri nao unamruhusu afanye alichokifanya, akikuwa ataacha.Hujui unachotafuta binti, ushatoaga thread humu ya kutafuta mchumba, wenyewe tukajaa pm kwako, ukarudi na mrejesho hapa ooh wamekuja mababa na mavitambi yao, ooh nilikuwa natania tu sikuwa sirias, tukueleweje?
PALE UNAPOFIKIRIA FURAHA YAKO IMEBEBWA NA MUME AU MKENyakati za mwisho ni nyakati ngumu na zenye kuogofya......
Habari wakuu,
Kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana walioamua kuzaa wenyewe baada ya kukosa wa kuwaoa, wenyewe hujiita 'single mothers'.
Siku moja tukiwa katika kujumuika sehemu, msichana mmoja kati yao akauliza; nataka kuzaa maana umri umeenda na sijapata wa kunioa.
Msichana mwingine akasema mimi sitaki kuolewa, eti sababu nataka kuwa huru na mambo yangu.
Karibuni kwa michango yenu
Mbarikiwe...
Donatila
KWAIYO MLITAKA NITEMBEE NA WATU WAMEOA? TATIZO HUMU WATU WAPO KINGONO SANA.HAKUNA WA KUKAA NAE MPANGE MAISHAHahaha.. eti mababa na mavitambi yao, mkuu umri nao unamruhusu afanye alichokifanya, akikuwa ataacha.
PALE UNAPOFIKIRIA FURAHA YAKO IMEBEBWA NA MUME AU MKE
Mkuu kwangu hutojutia kabisa mahusiano...achana na hayo mababa yenye vitambi vyaoPALE UNAPOFIKIRIA FURAHA YAKO IMEBEBWA NA MUME AU MKE