Moja... Hawajiiti single mothers ila hilo ndo jina sahihi la hiyo status.
Pili... Dunia imebadilika sana kwa sababu ya utandawazi. Hatuugi lugha na teknolojia tu toka kwa wazungu bali na maadili pia. Ko mi wala sishangazwi!
Inaitwa personal decision! Sio lazima kuolewa ko siwahukumu wasiotaka kuolewa.
Na ata hawa single mothers sio wa kuwahukumu pia, kwa sababu sio vizuri kuingia kwenye ndoa kwa kigezo kua mmezaa pamoja... Mtavurugana tu. Cha msingi watu tuwe makini, tunapofanya tendo la uumbaji tuwe tayari kwa matokeo... Hamna mimba ya bahati mbaya, labda uwe umebakwa.