Ewe msichana, kwanini uzae kabla ya kuolewa?

Ewe msichana, kwanini uzae kabla ya kuolewa?

Mimi naamini ni ubinafsi tu, unaamua kuzaa lakini hufikirii juu ya maisha ya mtoto bila baba. Nimekuwa na interaction na watu waliolelewa bila baba ndani, hawaipendi hali hiyo, kila mara wanalaumu sana kwa nini baba hakuwepo katika maisha yetu, laiti baba angenilea etc.

Mtu kufikiri kuzaa eti kwa vile ana uwezo wa kulea ni ubinafsi, huwazi kuhusu welfare ya watoto bali unajifikiria mwenyewe.
Asante kwa mchango mzuri
 
Kwa sababu kuzaa ni mpango wa Mungu na Miungu na ni wa lazima ili kuendeleza uhai...
Ndoa ni hitaji la kibinadamu tu, sio la lazima wala la muhimu.

Kuzaa nje, kabla, ndani, pembeni kidogo, juu ya ndoa hakuondoi maana ya kuzaa... Tendo takatifu la kuendeleza uhai!
 
Kwa sababu kuzaa ni mpango wa Mungu na Miungu na ni wa lazima ili kuendeleza uhai...
Ndoa ni hitaji la kibinadamu tu, sio la lazima wala la muhimu.

Kuzaa nje, kabla, ndani, pembeni kidogo, juu ya ndoa hakuondoi maana ya kuzaa... Tendo takatifu la kuendeleza uhai!
nipe tano mkuu
 
Habari wakuu,

Kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana walioamua kuzaa wenyewe baada ya kukosa wa kuwaoa, wenyewe hujiita 'single mothers'.

Siku moja tukiwa katika kujumuika sehemu, msichana mmoja kati yao akauliza; nataka kuzaa maana umri umeenda na sijapata wa kunioa.

Msichana mwingine akasema mimi sitaki kuolewa, eti sababu nataka kuwa huru na mambo yangu.

Karibuni kwa michango yenu

Mbarikiwe...

Donatila
Kwani mimba inajichomeka au inaingizwa, utamu ukikolea ndo unaamua kama mimba na iingie tu, mi nadhani siku hizi uwezo kukataa sex umepungua, yaani nyege zina nguvu sana, hasa mdudu akizamishwa vya kutosha demu hawezi toa..
 
Anatetaka kuzaa aje na tutaishi wote sitaki nimpe tabu mtoto wa watu aishie kuitwa single mama tuu apagawee weee
 
Nafkir laiti km watu wangekuwa committed sna na mafundisho ya dini zao,wala hili lisingejitokeza ..
 
Habari wakuu,

Kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana walioamua kuzaa wenyewe baada ya kukosa wa kuwaoa, wenyewe hujiita 'single mothers'.

Siku moja tukiwa katika kujumuika sehemu, msichana mmoja kati yao akauliza; nataka kuzaa maana umri umeenda na sijapata wa kunioa.

Msichana mwingine akasema mimi sitaki kuolewa, eti sababu nataka kuwa huru na mambo yangu.

Karibuni kwa michango yenu

Mbarikiwe...

Donatila
Labda tu nikuulize,
Hivi una mtoto wakike?
 
swala la Mwanamke kuzaa kabla ya ndoa huwa ni mwanamke kutokuwa makin na siku zake

zen y umluhusu mwanaume usiye na mpango nae kukumwagia sha..!! ndan...??
 
Mimi naamini ni ubinafsi tu, unaamua kuzaa lakini hufikirii juu ya maisha ya mtoto bila baba. Nimekuwa na interaction na watu waliolelewa bila baba ndani, hawaipendi hali hiyo, kila mara wanalaumu sana kwa nini baba hakuwepo katika maisha yetu, laiti baba angenilea etc.

Mtu kufikiri kuzaa eti kwa vile ana uwezo wa kulea ni ubinafsi, huwazi kuhusu welfare ya watoto bali unajifikiria mwenyewe.
Mkuu umeongea point
Wakati mwingine tunajijali sisi wenyew tunasahau kuwa wale tutakaowaleta au tuliowaleta wanaichukuliaje hali.
Kulelewa na wazazi wote ni raha na kunampa mtoto furaha na malezi bora.
Watoto wengi waliolelewa na single parents wanatamani wangekuwa na complete family kama wenzie
 
Single parenting ina changamoto zake kama ilivyo kwa upande mwingine pia, kuna waliolelewa na wazazi wote wawili wakawa taabani zaidi yawaliolelewa na mzazi mmoja.

Kuna watoto wanalelewa na wazazi wote wawili lkn ni kama ana mzazi mmoja tu,mwingine yupo kama hayupo hamthamini mtoto nae mtoto anamuona wa hivi na vile tu(hana power juu yake)

Sitetei single parenting, bt hata hao walio kwenye ndoa watoto wanawapasua kichwa na wamewashinda kulea, what mataz ni wazazi wote kuwa katika maisha ya huyo mtoto, haijalishi mna ndoa au la!
 
  • Thanks
Reactions: kui

Similar Discussions

Back
Top Bottom