Tanzania kuna wafungwa wa kisiasa ? hili la watoto wakiume kuruhusiwa kuwa kama Dada zao lazima Esther Bulaya apambane Sana kuhakikisha linapita
Hujui chato Kuna watu Kama 50 wapo mahabusu karibia mwaka sasa
Tanzania kuna wafungwa wa kisiasa ? hili la watoto wakiume kuruhusiwa kuwa kama Dada zao lazima Esther Bulaya apambane Sana kuhakikisha linapita
No sisi tukienda kuomba pesa za walipa kodi wao ndo huwa wanatujadili.Hivi Kumbe Bado wazungu wanalijadili bara LA Africa km koloni lao?
Jitahidi uwe unasoma kitu na kuelewa kabla ya kukimbilia kutoa povu lakoHao jamaa hawakusema lolote juu ya wezi wa mali ya umma! Kama ni hivyo hatuhitaji kusaidiwa kuongoza nchi. Yaani Bunge la EU halifahamu tatizo kubwa la Africa ni nini? Rushwa na wizi. Hawasemi lolote juu ya hayo na wanajidai kututetea! Nonsensical!
Vipi mtihani wa form 4? Ulikuwa rahisi?Jitahidi uwe unasoma kitu na kuelewa kabla ya kukimbilia kutoa povu lako
Washachoka wazungu sasa wanasaidia kuzungusha kivingjne.Makamanda hamchoki kuzungusha mikono hewani?
u1 wa Afrika, ni manyau tu.u1 wa Africa una kazi gni.. nao watoe tamko ,hao wazungu wasituendesh bn.
Wanapenda ujinga kwani hiyo miaka 50 yote waliokusaidia wamekufikisha wapi sasa kiuchumi kwa hii nchi yako?Chezea vyote ila sio USA mzee baba.. Soon ataelewa mabeberu hawapendi ujinga
Hivi Kumbe Bado wazungu wanalijadili bara LA Africa km koloni lao?
Kusema rahisi sanaHatupangiwi.....nchi yetu ni huru kwa zaidi ya miaka 50 sasa
TruthfulHao jamaa hawakusema lolote juu ya wezi wa mali ya umma! Kama ni hivyo hatuhitaji kusaidiwa kuongoza nchi. Yaani Bunge la EU halifahamu tatizo kubwa la Africa ni nini? Rushwa na wizi. Hawasemi lolote juu ya hayo na wanajidai kututetea! Nonsensical!
Hivi ukiondoa ushoga na usagaji haya mengine kwa nini yasiwezekane ?! Na hata huo ushoga na usagaji sheria zipo. Lisiletewe tu kick kama Makonda alivyofanya na kuzua taharuki .Ila ukiangalia kwa jicho la mbali hawa eu watakua na sbb zao zingine,maana rwanda tu hapo kuna mabaya yanayofanyika kupitiliza haya ya hapa kwetu lkn wameuchuna tu!
miaka 50 hata bajaji unaagiza china; wewe ni ombaomba tu na lazima uwasikilize hao watoa pesa.Hatupangiwi.....nchi yetu ni huru kwa zaidi ya miaka 50 sasa
Zinakuchangia kwa kuwa zinajuwa zitakapokupiga kupitia kule kule UN ambapo hauruhusiwi kuamua wala kuchangia chochote zaidi ya kuwa msikioizaji tu lakini chochote wakitakacho wao Western Countries ni lazima ukikubali "VETO POWER"Huru huku ukikusanya 40% ya budget yako 60% ukiomba serikali zinazoongozwa na mashoga zikuchangie?
Hitler aliingia kwa njia ya kura tena ki democracy Ujerumani . Wanamkumbuka sanauzuri ni kwamba Magufuli si dikteta….ni rais anayefaa kuongoza taifa kama hili.
yeye ndiye mtekelezaji wahayo, what do you expect?Kama rais magufuli atapuuza hoja hizo atakuwa hana sifa za kuwa kiongozi wa nchi maana atakuwa hana tofauti na bokoharamu
Hivi huwa vichwa vya habari unasomaga kabla ya kuja hapa? Rwanda na mambo ya EU na US kwa tanzania inahusianaje?Ila ukiangalia kwa jicho la mbali hawa eu watakua na sbb zao zingine,maana rwanda tu hapo kuna mabaya yanayofanyika kupitiliza haya ya hapa kwetu lkn wameuchuna tu!
Humanity ya kukutawala zaidi ya miaka 50 na bila ya kukuwezesha vizuri kiuchumi zaidi ya kukukomba tu kupitia madini, mafuta na rasilimali zako kiujumla?Lazima mjue kuna international sovereignty, huwezi kuburuza binadamu kama kuku halafu watu wakuchekee tu. Wanachofanya EU ni ku-emancipate humanity