European Parliament resolution on Tanzania

European Parliament resolution on Tanzania

Ila ukiangalia kwa jicho la mbali hawa eu watakua na sbb zao zingine,maana rwanda tu hapo kuna mabaya yanayofanyika kupitiliza haya ya hapa kwetu lkn wameuchuna tu!

Ni kweli usemavyo, je hayo waliyotaja sababu ya kutumulika hayapo? Kama yapo yafanyiwe kazi ili tuone watakuja na lipi.
 
Tatizo hii nchi wengi hawaijui, nakuhakikishia hapo hakuna litakalofuatwa hata moja na hawatofanya chechote

Muda ni mwalimu.
 
Hawawezi kuliacha bara la Afrika kwani wengi wana interest zao huku haswa kwenye mashirika yao ya kuwekeza kama madini, mafuta, na vinginevyo.....wazungu hawajaacha kuichuna Afrika na ndiyo maana wana wasiwasi sana na uhusiano wa Afrika na China kwa hivi sasa.
China ni rafiki wa kweli wa raslimali zetu
 
Ila ukiangalia kwa jicho la mbali hawa eu watakua na sbb zao zingine,maana rwanda tu hapo kuna mabaya yanayofanyika kupitiliza haya ya hapa kwetu lkn wameuchuna tu!
Bahati ya mwenzako...........................wazi. Hata hivyo akina Ingabire Victoire na Diane Rwigara wameachiwa bila masharti na usifikiri ni kwa mapenzi au huruma ya Kagame. Ni shinikizo kali toka huko huko.
 
Jiwe Ashughulikie suala hili kwa namna ambayo haitatupeleka njia ya Zimbabwe. Hio hatutaki. Tunamtakia la kheri anapopambana na wakubwaw.

Zimbabwe ikulu ipo mbali na bahari lakini Tanzania kumbuka ikulu ipo jirani na bahari ni rahisi Marekani kutuma nyambizi kubwa zilizopo mombasa na sehemu zingine Duniani zikaja mpaka feri chini kwa chini zikafanya yake na kuondoka kimya kimya
 
True maana ni kitanzi kwake.Mpenda ligi yuko radhi tuwe fukara Lkn sio kutii au kuachia kiti.
Tatizo hii nchi wengi hawaijui, nakuhakikishia hapo hakuna litakalofuatwa hata moja na hawatofanya chechote

Muda ni mwalimu.
 
u1 wa Africa una kazi gni.. nao watoe tamko ,hao wazungu wasituendesh bn.
 
Zimebaki wiki mbili mwaka uishe atuoni dalili za kuhamia Dodoma
Zimbabwe ikulu ipo mbali na bahari lakini Tanzania kumbuka ikulu ipo jirani na bahari ni rahisi Marekani kutuma nyambizi kubwa zilizopo mombasa na sehemu zingine Duniani zikaja mpaka feri chini kwa chini zikafanya yake na kuondoka kimya kimya
 
China ni komba mwiko ni Mkoloni hatari kuliko hata mzungu
Hana utu mbele Pesa damu ni MAJI kwake.Uwapenda viongozi wakopaji ili achukue Bandari,mbuga,maziwa, viwanja vya ndege.
 
Bado nina mashaka sana na wale waliomteua mtu huyu kupeperusha bendera ya CCM.
 
True maana ni kitanzi kwake.Mpenda ligi yuko radhi tuwe fukara Lkn sio kutii au kuachia kiti.
Hakuna watakachofanya

then kuna chama nakiona kinajichimbia shimo chenyewe

kuna propaganda wanajiandalia wenyewe na itawaangamiza

lets wait and see.
 
>>>Haki za binadamu
>>>Kamata kamata ya wapinzani
>>>Elimu
>>>Afya
>>>Haki ya kupata habari
>>>Sheria kandamizi na matamko
>>>Mikutano ya kisiasa kupigwa marufuku
>>>Kuandamwa kwa watetezi wa haki za binadamu
>>>Kufungiwa vyombo vya habari
>>>Kuandama watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja (ushoga/usagaji. CCM wanasimamia ushoga tu, usagaji hawausemei ina maana wanaukubali)

BUNGE HILO LIMETAKA PIA HAYA YATEKELEZWE
>>>Kuachiliwa wafungwa wote wa kisiasa
>>>Kurekebisha baadhi ya sheria ikiwemo ya makosa ya mtandao , sheria ya vyombo vya habari
>>>Kuachia uwanja kwa watetezi wa haki za binadamu kufanya shughuli zake
LIMETAKA PIA HAYA YAWEPO
>>>Tume huru ya kuchunguza kutekwa na kuakamatwa kwa waandishi wa habari na watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha
>>>Hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wale wataobainika kuvunja haki za binadamu

Umeandika vema. Peleka nakala ikulu.
 
Back
Top Bottom