European Parliament resolution on Tanzania

European Parliament resolution on Tanzania

>>>Haki za binadamu
>>>Kamata kamata ya wapinzani
>>>Elimu
>>>Afya
>>>Haki ya kupata habari
>>>Sheria kandamizi na matamko
>>>Mikutano ya kisiasa kupigwa marufuku
>>>Kuandamwa kwa watetezi wa haki za binadamu
>>>Kufungiwa vyombo vya habari
>>>Kuandama watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja (ushoga/usagaji. CCM wanasimamia ushoga tu, usagaji hawausemei ina maana wanaukubali)

BUNGE HILO LIMETAKA PIA HAYA YATEKELEZWE
>>>Kuachiliwa wafungwa wote wa kisiasa
>>>Kurekebisha baadhi ya sheria ikiwemo ya makosa ya mtandao , sheria ya vyombo vya habari
>>>Kuachia uwanja kwa watetezi wa haki za binadamu kufanya shughuli zake
LIMETAKA PIA HAYA YAWEPO
>>>Tume huru ya kuchunguza kutekwa na kuakamatwa kwa waandishi wa habari na watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha
>>>Hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wale wataobainika kuvunja haki za binadamu


I hope wakina Zitto watayapinga haya maamuzi ya EU maana waliomba Mungu tupate rais dikteta ili awashikishe adabu kwa sababu walimchoka JK kwa udhaifu wake.
 
>>>Haki za binadamu
>>>Kamata kamata ya wapinzani
>>>Elimu
>>>Afya
>>>Haki ya kupata habari
>>>Sheria kandamizi na matamko
>>>Mikutano ya kisiasa kupigwa marufuku
>>>Kuandamwa kwa watetezi wa haki za binadamu
>>>Kufungiwa vyombo vya habari
>>>Kuandama watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja (ushoga/usagaji. CCM wanasimamia ushoga tu, usagaji hawausemei ina maana wanaukubali)

BUNGE HILO LIMETAKA PIA HAYA YATEKELEZWE
>>>Kuachiliwa wafungwa wote wa kisiasa
>>>Kurekebisha baadhi ya sheria ikiwemo ya makosa ya mtandao , sheria ya vyombo vya habari
>>>Kuachia uwanja kwa watetezi wa haki za binadamu kufanya shughuli zake
LIMETAKA PIA HAYA YAWEPO
>>>Tume huru ya kuchunguza kutekwa na kuakamatwa kwa waandishi wa habari na watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha
>>>Hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wale wataobainika kuvunja haki za binadamu
Kama yatatekelezwa nitamini kwamba bado tunatawaliwa na wazungu
 
I hope wakina Zitto watayapinga haya maamuzi ya EU maana waliomba Mungu tupate rais dikteta ili awashikishe adabu kwa sababu walimchoka JK kwa udhaifu wake.
Dikteta wa maendeleo sio wa kupambana binafsi na watu
 
Hivi Kumbe Bado wazungu wanalijadili bara LA Africa km koloni lao?


Hawawezi kuliacha bara la Afrika kwani wengi wana interest zao huku haswa kwenye mashirika yao ya kuwekeza kama madini, mafuta, na vinginevyo.....wazungu hawajaacha kuichuna Afrika na ndiyo maana wana wasiwasi sana na uhusiano wa Afrika na China kwa hivi sasa.
 
Tanzania kuna wafungwa wa kisiasa ? hili la watoto wakiume kuruhusiwa kuwa kama Dada zao lazima Esther Bulaya apambane Sana kuhakikisha linapita
Ukiwa na fikra ndogo hauwezi kuelewa kama wapo au hawapo kwa sababu wewe unaamini ufungwa ni mpaka uwe gerezani tu lakini hauelewi kama hata kuwa na kesi nyingi za wanasiasa na kulipoti karibu kila wiki mahakamani na polisi ni ufungwa pia kwa mwanasiasa
 
Hayo yote sikuona sababu hata moja yalipokuwa yanazuiliwa.. Nilikuwa nashangazwa sana kwa mtu mcha Mungu kuzuia haki za raia wake... Ila anaweza achia EU na US wamemzodoa tu kwa kumuambia ukweli kuwa ukandamizi sio mwake kabisa only for the people who have roho mbaya... Jiwe alikuwa anasubiri Jogoo EU awike akawika now jogoo US nae kawika so akiendelea na roho mbaya vikwazo nami niviunga mkono kwani anayefaidika na keki ya taifa ni yeye na regime yake
Jiwe Ashughulikie suala hili kwa namna ambayo haitatupeleka njia ya Zimbabwe. Hio hatutaki. Tunamtakia la kheri anapopambana na wakubwaw.
 
Back
Top Bottom