NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Miti yote inateleza sasa. Ndiyo mwisho wa waitaliano.Siku ya kufa nyani....
Italy wamemaliza sub na Motta kaumia......
Italy inabidi wacheze 10 uwanjani......So sad
Miti yote inateleza sasa. Ndiyo mwisho wa waitaliano.Siku ya kufa nyani....
Italy wamemaliza sub na Motta kaumia......
Italy inabidi wacheze 10 uwanjani......So sad
Kama Thiago Motta alikuwa na tatizo la Harmstring kwa muda mrefu itakuwa ni uchemfu wa prandelli...Miti yote inateleza sasa. Ndiyo mwisho wa waitaliano.
Hawa Hispania wataongea sana...
Wanastahili kuongea bana......Mara kumi hata Germany ingeingia final.....Wangeleta upinzani...Hawa Hispania wataongea sana...
Dakika 10 ni nyingi, Italy bado wanayo nafasi ya kuwageuzia kibao.Hawa Hispania wataongea sana...
The best forward of Spain Villa Maravilla bado anajiuguza, yuko Mallorca Island na familia yake.Kikosi cha Spain nimemkumbukia David Villa, jamaa namfagi sanaaa!!
Italy kweli wamezidiwa. Mpaka sasa Spain wameshachukua ubingwa!! Viva Espana😛oa:A S soccer: