BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Phew!! Italy chalii, imetoka!! Torres kaua
Kuumia kwa Thiago Motta kumewagharimu Italy zaidi.....Maana imewabidi wacheze 10 kwa dakika 30........Wanastahili kushindwa aisee.....Kikosi cha Spain nimemkumbukia David Villa, jamaa namfagi sanaaa!!
Italy kweli wamezidiwa. Mpaka sasa Spain wameshachukua ubingwa!! Viva Espana😛oa:A S soccer:
Wanastahili kuongea bana......Mara kumi hata Germany ingeingia final.....Wangeleta upinzani...
Italy sasa hivi wanaomba muda uishe tu ili wasiongezwe magoli mengine...
Spain size yao Germany chief.....Hawa Italy sio level ya Spain.......Pia Thiago Motta kawagharimuDah! Torres kawapa kombe rasmi.
Hakika Ujerumani wangeweza kuwa wapinzani zaidi. Lakini chifu,kumbuka kabumbu uamuliwa dimbani ndani ya dakika 90, 120 au penati. Hivyo mambo pengine yangeweza kuwa tofauti.
The best forward of Spain Villa Maravilla bado anajiuguza, yuko Mallorca Island na familia yake.
LA TATU!