Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,658
Di Natalle kaingia na mzuka kam replace Cassano
Kwa mpira wanaocheza Italy leo kuna hatari hata wakaongezwa la 3 maana kiungo kimepwaya na beki pale kuumia kwa Giorgio Chiellini ndio imekuwa inapwaya mpaka basi.....
Labda Coach Prandelli awaingize haraka Alessandro Diamante na Antonio Di Natale wanaweza kubadilisha mchezo....
Ball to hand...............Not a hand ballHii ni penalty ya wazi, refa kauchuna.
Hii ni subjective, lakini tunamsamehe bureBall to hand...............Not a hand ball
Mpaka sasa wanajitahidi kidogo hasa baada ya kuingia Antonio Di Natale. Sasa amuingize Alessandro Diamante.Italians are getting desparate, is there light at the end of the tunnel for Italy..............mamma mia