Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,658
Faulo kwa Di Natalle
Di Natale ni mzuri sana...Hata Wataliano wanamshangaa Prandelli kwa kumuanzsiha bechi kila mechi na kumchezesha Cassano ambaye hayupo fit,ametoka kufanyiwa operesheni ya moyo.......Di Natalle analeta matumaini
Ha ha ha haaaah!! Jamaa mmoja hapa anasema eti Papa kasahau kuwaombea Italy....
Hii ni subjective, lakini tunamsamehe bure
Mpaka sasa wanajitahidi kidogo hasa baada ya kuingia Antonio Di Natale. Sasa amuingize Alessandro Diamante.
Ha ha ha haaaah!! Jamaa mmoja hapa anasema eti Papa kasahau kuwaombea Italy....
This is tough for Italy as they will have to do the work with 10 men
Nani katolewa? Ilikuwaje?
Thiago Motta kaumia wakati kocha kamaliza sub zote.