Asante kwa taarifa Mkuu!Chifu Villa yumo hapo kiwanjani, anacheki soka tu.
Hongera kwa kikombe.
Hii sasa aibu! 4-0 kwenye fainali?!
Wana sababu.....Wamecheza 10 uwanjani kwa dakika 33.......Ni baada ya Thiago Motta kuumia wakati Italy wamemaliza sub 3.......Chifu Villa yumo hapo kiwanjani, anacheki soka tu.
Hongera kwa kikombe.
Hii sasa aibu! 4-0 kwenye fainali?!
Dah... Siwezi kuvumilia hii kitu Wadau.... This is INHUMAN.... I never expected this.... 4-0???????? Kila la heri... Mie nalala,....Usiku mwema jamani
Asante sana Mkuu. Sasa ninatoka mitaani kuchukua picha za sherehe huku niliko.Full Time
Spain 4-0 Italy
Hongera kwa Spain....Pole kwa maburuda Italy...
Hongera kwa MAMAMIA na Gutierez
Torres, Balotelli ,Alan Dzagoev, Mario Gomez, Mario Mandzukic na Cristiano Ronaldo wote wana magoli matatuTorres will get the golden boot
Torres will get the golden boot
Torres, Balotelli ,Alan Dzagoev, Mario Gomez, Mario Mandzukic na Cristiano Ronaldo wote wana magoli matatu