Eti wanaume huwa hawaonji mara moja...!

Eti wanaume huwa hawaonji mara moja...!

karibu sana ukikosa sababu sema unakuja kwenye kitchen patty, ila sasa akikununulia ungo na masufuria sijui itakuwaje?
hahahaahahah! afadhali hilo nitayaweka kwa jirani na nguo nitavaa, Ikiwa na yeye yupo hapo kwenye part si nitajikojolea? :confused2::confused2:
 
nitamtuma Mume wangu aje akukague , halafu ataniletea majibu!!!

Angalia yasije yakakukuta ya yule alimkuta mumewe anabas$$wa.............:becky:basi babu yaishe tusijeshindwa semezana humu jamvini mjukuu
 
Aaah my swiri wife mwaJ ndo mambo gani tena hayo kunyamazishana kikatili? basi kama ndivyo mwambie huyo kaka yako Mtambuzi akiwa anaongea na dada zake ajitahidi kunong'ona ili mashemeji tusisikie.

Halafu usisahau abiria chunga mzigo wako, sichezi mbali ati, mujini kumejaa mapeshjeeee!!

Ha ha haaaaa! Tatizo Mtambuzi hajui kunong'ona! Halafu unadhani nilikunyamazisha kikatili? Niliweka kidole tu juu ya lips hata sauti haikusikika! Mwita Maranya kwani hujui heshima na adabu za muke ya mukurya?
 
Last edited by a moderator:
mbona hiyo kauli nzuri sana nilishakutana nahuyu akaniambia hivi
1.nilishatembea na wanawake wasiopungua 100 na ushee ila katika wote hao nawapenda watano na katika hao watano jack na neema ndio naweza kuja kuwaoa alafu wewe uliyempenzi wake wa muda huo hajakutaja.
2 .unamwambia jamani mbona uko na mimi lakini bado unaendelea kuwasiliana na ma X -WAKO NA SIO MMJA AU WAWILI ANAKUAMBIA '',WANAMKE HAACHWI ILA ANAPUNGUZIWA MAWASILIANO TU''na kweli akienda popote anatembea na x-wake
3.Anakuwa na wanawake wengi kila kona inakuwa sio siri tena na wengine amezaa nao ni wengi kama kumi na wote anadili nao wazazi wanamkalisha nakumkanya anajibu''KHA SASA NIMEJITAHIDI SANA YAANI NIMEPUNGUZA IDADI YAO KUTOKA 20 SASA NIMEBAKI NA 12 TU AMBAO NAWAPENDA ''''' HAHAHAH Mtambuzi najua umenielewa sana.

Kuzaazaa bila kikosi kazi cha kuhakikisha wanasoma na kuelimika ni balaa nisilotaka kulisikia
 
hahahaha tata mbona watisha sasa mimi, wakati kabla ya kuja kwako ilikuwa kwangu Najiita Mwajuma Jafari sasa kuja kwako ikafupisha jina jiita MwaJ.... kaazi kweri kwerii, ila hapo Muraa hapo nke ummepata

Hahahaha ndugu yangu Jiwe Linaloishi wala sikutishi huo ndio ukweli wenyewe.
Mimi sijali kama alikuwa anajiita Mwajuma wakati akiwa kwako na sasa anajiita mwaJ akiwa kwangu. Ninachojua ni kitu kimoja tu kwamba MwaJ ni "nke" yangu, ananipenda sana na mimi nampenda sana.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaaaa! Tatizo Mtambuzi hajui kunong'ona! Halafu unadhani nilikunyamazisha kikatili? Niliweka kidole tu juu ya lips hata sauti haikusikika! Mwita Maranya kwani hujui heshima na adabu za muke ya mukurya?

Haaaaaaaaaaaaaaaa!!! mwaJ kumbe wewe bado kujua heshima ya muke ya mukurya. Mukurya hawekewi kidole juu ya lips, huo ni mwiko nitauvunja.
Ngoja niendelee kukufundisha taratibu tu nadhani ni fast learner kwahiyo baada ya muda mfupi utakuwa unaongea na kikurya na si heshima ya kikurya pekee.
 
Last edited by a moderator:
Haaaaaaaaaaaaaaaa!!! mwaJ kumbe wewe bado kujua heshima ya muke ya mukurya. Mukurya hawekewi kidole juu ya lips, huo ni mwiko nitauvunja.
Ngoja niendelee kukufundisha taratibu tu nadhani ni fast learner kwahiyo baada ya muda mfupi utakuwa unaongea na kikurya na si heshima ya kikurya pekee.

Khaaa! Jamani mbona itakuwa ngumu? Yaani huko ukuryani lugha ya ishara hairuhusiwi? Sasa Mwita Maranya kama nataka watu waliojirani wasinisikie nakuambia ujifiche na usiongee kwa sauti nafanyaje? Itabidi hii kesi Mtambuzi aje kuisikiliza na kutoa maamuzi!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha ndugu yangu Jiwe Linaloishi wala sikutishi huo ndio ukweli wenyewe.
Mimi sijali kama alikuwa anajiita Mwajuma wakati akiwa kwako na sasa anajiita mwaJ akiwa kwangu. Ninachojua ni kitu kimoja tu kwamba MwaJ ni "nke" yangu, ananipenda sana na mimi nampenda sana.
Mwita Maranya bora umwambie ukweli huyo Jiwe Linaloishi anataka kuleta hadithi za Mtambuzi ili uchape lapa mapema ukiamini kuwa ntaenda tena kwa mwingine nikiwa na jina la MJ!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
hahahaha Tata kaa n'guu pande akiri kumkichwa.. unamwona ashaanda jina lingine la MJ huyu atakuwa yuko tour

Ha ha haaaaa! Nimecheka kwa hasira! Jiwe Linaloishi wee mubayaaaa! Niko tour kwani mie mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini? Lol!
Mwita Maranya usiwasikilize wafitini hao! Jina la mwaJ halitobadilishwa maana ni la ubatizo wa maji na moto!
 
Last edited by a moderator:
Kwa ulichoandika hapo juu Dada AFRODENZI wacha nikutumie friend request.
 
Msiri wangu Kaizer habari za kupotea? Wazee walishindwa kukataa ng'ombe za mkurya Mwita Maranya. Tulikutafuta sana uje kwenye harusi hukupatikana! Card ya mualiko tunatembea nayo kwenye gari mpaka leo!

Hapo ndo panahusu mwaJ,,,,maana nikifikiria kwa mapana napata picha kwamba kadi ipo kwenye gari na moyoni pia, asante kwa kunitunzia mwaliko wangu hadi nitakapokuja kuuchukua, mgogoro wa mpaka ukiisha kati yetu na malawi
 
Last edited by a moderator:
Hata nikisema napenda Hakuna mtu yeyote yule
ambae anasema siri zake zote kwa mtu yeyote yule.

kuna mambo mengine majongololo wa Kaburini tu ndo watajua.

hahhahahahahahhahhaha........sawa mama
 
Hapo ndo panahusu mwaJ,,,,maana nikifikiria kwa mapana napata picha kwamba kadi ipo kwenye gari na moyoni pia, asante kwa kunitunzia mwaliko wangu hadi nitakapokuja kuuchukua, mgogoro wa mpaka ukiisha kati yetu na malawi

Najua mgogoro utaisha muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom