Aliachana au aliachwa? Fafanua pls kwani hiyo ni muhimu sana; na inaweza kutupa picha kuwa alimpenda KWELI au aliFIKIRI anampenda.
Nina assume aliachwa na huyo mdada baada ya kusalitiwa.
haya anavyonisimulia hayo, na kutoonesha kutojuta ina maana 2 na naweza chagua nini cha kuamini inategemea ameuteka moyo wangu kiasi gani.
1. Hajutii mahusiano yake yote ya nyuma coz yuko na mimi and he is happy with me; na naweza chukulia cheating yake ilikuwa ni searching for something missing ambacho amekuja pata kwangu at last. AU
2. He is a self centered cheating bast.rd ambaye hajali feelings za wengine na hafai kuwa na mimi. (hii conclusion itakuwa supported na matendo yake na jinsi anavyonitreat na hata ile ya juu pia inakuwa supported and how he is now)
good analysis. Mapenzi sio kama hesabu kuwa jawabu liwe moja tu. Kuna mambo mengi ya kuangalia kabla ya kufanya maamuzi.