Eti wanaume huwa hawaonji mara moja...!

Eti wanaume huwa hawaonji mara moja...!

Unamaanisha nn? sijakuelewa au 0713?

namaanisha wasichana ck iz mavazi yanawabana sana kiasi kwamba km na makalio ni makubwa kidogo jumlisha mabno wanaume mate hututokA!,apo chitin nje nje mama!
 
Hapo ndo panahusu mwaJ,,,,maana nikifikiria kwa mapana napata picha kwamba kadi ipo kwenye gari na moyoni pia, asante kwa kunitunzia mwaliko wangu hadi nitakapokuja kuuchukua, mgogoro wa mpaka ukiisha kati yetu na malawi

mkuu kwema? msema kweli rafiki ya Mungu, adui ya ccm hiyo Avantar yako kila nikiiona hasa siku za ijumaa na jmosi inaniletea kiu kweli mkuu

we Mwajuma (mwaJ) Tata mwita anajua kuwa kaiza ndio msiri wako?? Mkuu Kaiza angalia wakurya wana wivu wasije kukukata viungo... mi nilishawahi kuhama nyumba kabla kodi haijaisha.
 
namaanisha wasichana ck iz mavazi yanawabana sana kiasi kwamba km na makalio ni makubwa kidogo jumlisha mabno wanaume mate hututokA!,apo chitin nje nje mama!

naomba muanzishe kipindi cha kuwaelimisha wenzenu ili kupunguza masahibu tunayoyapa.... mbona zamani mlikuwa mnavaa nguo kawaida na mlipendwa tu iweje sasa hivi mtuvalie za kubana hivyo... nyi ndio chanzo cha matatizo


HodxKJ41Do9qj7fYfrXix1J5L8X5Cy42FWpHfkAAAAAElFTkSuQmCC
 
Mkuu Mtambuzi.

kuna aina mbili tu ya wanaume wataeweza kukwambia hayo:-
1.Mwanamme mjinga kuliko wote .
2.Mwanaume ambae anampago wa kukuacha (na anakupa misamiati hapo).

Kama mwanaume anakupenda kweli atafanya kila awezalo ndani ya uwezo wake
kukufanya uwe " comfortable" na kama atakwambia maisha yake hapo zamani za kale
Hayatakuwa na details nyingi sana. (kama ulivyoeleza hapo juu.)

kwa mwanaume wa hivyo
mi ntachukulia ananiambia mama funga virago kabla sijaku "exchange" mwehhh balaa sitaki.


Nimetafuta PM yako nimekosa;
Nataka kutoka nawe angalau qa ajili ya maji ya kupima:
Akili yako muruwa kabisa.

NImekuhisije afrodenzi?

Umtesaye;
Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Hivi mwaJ ndo umeshaolewa..

Msiri wangu Kaizer habari za kupotea? Wazee walishindwa kukataa ng'ombe za mkurya Mwita Maranya. Tulikutafuta sana uje kwenye harusi hukupatikana! Card ya mualiko tunatembea nayo kwenye gari mpaka leo!

Hapo ndo panahusu mwaJ,,,,maana nikifikiria kwa mapana napata picha kwamba kadi ipo kwenye gari na moyoni pia, asante kwa kunitunzia mwaliko wangu hadi nitakapokuja kuuchukua, mgogoro wa mpaka ukiisha kati yetu na malawi

Najua mgogoro utaisha muda si mrefu.

:cheer2::cheer2:

Guys i'm closely watching you!!
Sasa mkuu Kaizer unataka kuniambia dadangu wa ukwe'e AshaDii hajapita mtaa huu aone unavyotaka kumvuruga my swiri mwaJ!!? Chagua mwenyewe kipi chepesi, nikushtakie ama nichukue hatua mwenyewe?

mkuu kwema? msema kweli rafiki ya Mungu, adui ya ccm hiyo Avantar yako kila nikiiona hasa siku za ijumaa na jmosi inaniletea kiu kweli mkuu

we Mwajuma (mwaJ) Tata mwita anajua kuwa kaiza ndio msiri wako?? Mkuu Kaiza angalia wakurya wana wivu wasije kukukata viungo... mi nilishawahi kuhama nyumba kabla kodi haijaisha.

Ndugu yangu Jiwe Linaloishi bora umempa tahadhari Kaizer ili huko mbele ya safari tusije tukalaumiana, ohooooo...!!!
 
Last edited by a moderator:
Guys i'm closely watching you!!
Sasa mkuu Kaizer unataka kuniambia dadangu wa ukwe'e AshaDii hajapita mtaa huu aone unavyotaka kumvuruga my swiri mwaJ!!? Chagua mwenyewe kipi chepesi, nikushtakie ama nichukue hatua mwenyewe?



Ndugu yangu Jiwe Linaloishi bora umempa tahadhari Kaizer ili huko mbele ya safari tusije tukalaumiana, ohooooo...!!!
Kaizer hapa naona kuna watu inabidi wapewe maelezo ili waache kupiga kelel na kulalamika. Hawajui maana ya neno "msiri" hawa!
 
Last edited by a moderator:
namaanisha wasichana ck iz mavazi yanawabana sana kiasi kwamba km na makalio ni makubwa kidogo jumlisha mabno wanaume mate hututokA!,apo chitin nje nje mama!

Sawa nimekuelewa, ila uwe unatazama tu , usitamani, maana siku hizi vingi vina sumu kali ambayo ukiipata unakufa tu, haina daa ya kutibu labda kupooza makali tu!!! Be Care full Ng'ombe kijana.
 
Kaizer hapa naona kuna watu inabidi wapewe maelezo ili waache kupiga kelel na kulalamika. Hawajui maana ya neno "msiri" hawa!

kwikwiwkwiwi na maelezo yenyewe uje unipe huku Pm siyo hapa uwanjani........ au uwahi Kebbys kabla white patty haijanza unieleze vizuri
 
Wapenzi wakiwa katika shughuli ,jamaa alimuuliza wife wake Hivi honey kabla yangu ulikua na wanawake wangapi ?wife hajajibu! jamaa akarudia tena wife hajajibu! jamaa akaanza kulalama kwamba wife unanidharau basi wife akasema ndio nilikua nawahesabu nimefika 56 umenivuruga ngaoja nianze upya. jamaa akazimia alipozinduka akajikuta icu "ukiwa kwenye mahusiano jaribu kuwa na uaminifu kwamba ni ukurasa mpya vinginevyo ni shida"
 
Wapenzi wakiwa katika shughuli ,jamaa alimuuliza wife wake Hivi honey kabla yangu ulikua na wanawake wangapi ?wife hajajibu! jamaa akarudia tena wife hajajibu! jamaa akaanza kulalama kwamba wife unanidharau basi wife akasema ndio nilikua nawahesabu nimefika 56 umenivuruga ngaoja nianze upya. jamaa akazimia alipozinduka akajikuta icu "ukiwa kwenye mahusiano jaribu kuwa na uaminifu kwamba ni ukurasa mpya vinginevyo ni shida"
hiyo kali
 
mkuu kwema? msema kweli rafiki ya Mungu, adui ya ccm hiyo Avantar yako kila nikiiona hasa siku za ijumaa na jmosi inaniletea kiu kweli mkuu

we Mwajuma (mwaJ) Tata mwita anajua kuwa kaiza ndio msiri wako?? Mkuu Kaiza angalia wakurya wana wivu wasije kukukata viungo... mi nilishawahi kuhama nyumba kabla kodi haijaisha.
Jiwe Linaloishi wala wala usihofu! Kama alikuwa hajui ndio inabidi ajue sasa! Mimi na Kaizer tumetoka mbali, siri zake zangu siri zangu zake hata wakeze gfsonwin na AshaDii wanalijua hilo. Sasa Mwita Maranya akitaka kumfahamu mkewe vizuri bora awe na urafiki Kaizer! Halafu wewe Jiwe unaonekana mchonganishi sana!
 
Last edited by a moderator:
kwikwiwkwiwi na maelezo yenyewe uje unipe huku Pm siyo hapa uwanjani........ au uwahi Kebbys kabla white patty haijanza unieleze vizuri

Mshabiki kuliko hata wale wa simba na yanga! Khaaaaaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
hahahah mbona umeguna?? siku hizi vijana wanasema ni kujilipua...... unamtesa kwa remote kaazi kwelikweli
btw hongeraaaa

daaahhhhh kuna mambo mengine majibu yake magumu sana kuyapata.
ni kushukuru tu na kupita ..

dahhhh na hii hongera uliyonipa sasa mmmmhhhh .
asante hahahahaha lolz
 
Back
Top Bottom