Eti wanaume huwa hawaonji mara moja...!

Eti wanaume huwa hawaonji mara moja...!

Hiyo ni kweli kabisa kaka Mtambuzi, Ndiyo maana mm huwa nakataa moja kwa moja, maana kuna wanaume wengine ukimuonjesha tu , lazima ataulizia tena, na ukimwambia hapana Anakwambia mbona siku ile ulinipa, na ukimwambia nilikupa mara moja tu anakwambia anataka tena , Sasa ubaya awe ndiyo boss wako, ameitaka tena na wewe umekataa utaona Rangi zote hapo ofisini, atakufanyia visa mpk utampa tena. Ndiyo maana mm huwa nakataa kabisa tangu mwanzo kama ni hapana ni hapana na sibadilishi mtizamo.

MM NILIOLEWA NA MWANAUME AMBAYE SIKUMTEGEMEA KUWA MUME WANGU , ALIDAI YEYE ANATAKA KUONJA TU,KUMBE ALIKUWA AMENIPENDA ANATAKA KUNIACHANISHA NA MCHUMBA WANGU, BASI ALIFANYA HILA MPK YULE MCHUMBA AKAJUA. NDIPO NIKAWA SINA PA KUSHIKA IKABIDI NIMKUBALI YEYE AWE MUME.

hao huwa tunawaita luba.. wakinata hawatoki, nadhani na wewe ulipenda maisha si yanakwenda kama kawa?

ukiona mwanaume anaomba kuonja ujue anajiweka kwenye mazingira ya kukutoka mda wowote asiponogewa atasema alikuwa anaonja kweli. ila akinogewa tu anageuka unywele ukiunyoa kesho umeota
 
Mkuu Mtambuzi.

kuna aina mbili tu ya wanaume wataeweza kukwambia hayo:-
1.Mwanamme mjinga kuliko wote .
2.Mwanaume ambae anampago wa kukuacha (na anakupa misamiati hapo).

Kama mwanaume anakupenda kweli atafanya kila awezalo ndani ya uwezo wake
kukufanya uwe " comfortable" na kama atakwambia maisha yake hapo zamani za kale
Hayatakuwa na details nyingi sana. (kama ulivyoeleza hapo juu.)

kwa mwanaume wa hivyo
mi ntachukulia ananiambia mama funga virago kabla sijaku "exchange" mwehhh balaa sitaki.

we hupendi mtu muwazi jamani????
 
My wife material mwaJ bado sijakusoma vizuri, hebu funguka kidogo. Kwamba uatendelea na mimi au unaendelea na x wako!? au unataka kutu-run wote wawili in parallel mode?

Shiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Mwita Maranya umekuja kutafuta nini huku? Mtambuzi anapoongea na dada zake hutakiwi kuja kusikiliza! Ila nilikuwa namaanisha nitaendelea na wewe!
 
Last edited by a moderator:
we hupendi mtu muwazi jamani????

Hata nikisema napenda Hakuna mtu yeyote yule
ambae anasema siri zake zote kwa mtu yeyote yule.

kuna mambo mengine majongololo wa Kaburini tu ndo watajua.
 
Hiyo ni kweli kabisa kaka Mtambuzi, Ndiyo maana mm huwa nakataa moja kwa moja, maana kuna wanaume wengine ukimuonjesha tu , lazima ataulizia tena, na ukimwambia hapana Anakwambia mbona siku ile ulinipa, na ukimwambia nilikupa mara moja tu anakwambia anataka tena , Sasa ubaya awe ndiyo boss wako, ameitaka tena na wewe umekataa utaona Rangi zote hapo ofisini, atakufanyia visa mpk utampa tena. Ndiyo maana mm huwa nakataa kabisa tangu mwanzo kama ni hapana ni hapana na sibadilishi mtizamo.

MM NILIOLEWA NA MWANAUME AMBAYE SIKUMTEGEMEA KUWA MUME WANGU , ALIDAI YEYE ANATAKA KUONJA TU,KUMBE ALIKUWA AMENIPENDA ANATAKA KUNIACHANISHA NA MCHUMBA WANGU, BASI ALIFANYA HILA MPK YULE MCHUMBA AKAJUA. NDIPO NIKAWA SINA PA KUSHIKA IKABIDI NIMKUBALI YEYE AWE MUME.


Kumbe nawe huvumi lakini umo!...........yaani ulikubali gegedwa wakati upo kwenye uhusiano tayari?!
 
wadada nao wanatamanisha sana siku iz mpaka unaweza kumsahau mkeo nyumba!,m2 kabanwaaaa na tena unakuta nyuma uko eeeee!,lazma usahau aiseee!!!
 
hao huwa tunawaita luba.. wakinata hawatoki, nadhani na wewe ulipenda maisha si yanakwenda kama kawa?

ukiona mwanaume anaomba kuonja ujue anajiweka kwenye mazingira ya kukutoka mda wowote asiponogewa atasema alikuwa anaonja kweli. ila akinogewa tu anageuka unywele ukiunyoa kesho umeota

Hahahahahaha! Umenichekesha sana , ni kweli alikuwa kama Luba, maana ninaachana na mchumba wangu yeye akawa anakuja kila siku , mwisho nikawa sina cha kufanya. Ila kwa kweli namshukuru Mungu nipo Ok na maisha yanakwenda.
 
Kumbe nawe huvumi lakini umo!...........yaani ulikubali gegedwa wakati upo kwenye uhusiano tayari?!

Hata wewe pia uligegeda wakati upo kwenye uhusiano, na nafahamu mpk sasa Unagegeda wasicha ihali umeshaoa. kwa hiyo we are in the same Boat! Don't juge me!
 
Kweli, mi ukianzia hiyo picha uliyoweka nimeangalia zaidi ya x3! Sasa je ni fisi maji?
 
Hahahahahaha! Umenichekesha sana , ni kweli alikuwa kama Luba, maana ninaachana na mchumba wangu yeye akawa anakuja kila siku , mwisho nikawa sina cha kufanya. Ila kwa kweli namshukuru Mungu nipo Ok na maisha yanakwenda.

kweli kuna wakati maisha yanafika njia panda inabidi uchague moja..... tukifikia hapo inabidi kumwomba Mungu akuongoze katika uamuzi sahihi. maisha safari ndefu kama isidingo...
Usisahau kuja whitepatty
 
kweli kuna wakati maisha yanafika njia panda inabidi uchague moja..... tukifikia hapo inabidi kumwomba Mungu akuongoze katika uamuzi sahihi. maisha safari ndefu kama isidingo...
Usisahau kuja whitepatty

Ni kweli kabisa, maisha ni kama Isindigo haiishi.
Kwenye Part sijui kama nitakuja au la! maana bado naomba ruhusa sasa sijui kama nitaruhusiwa au la! tuombe Mungu Mume wangu akubali. akikubali tutakuwa pamoja.
 
Shiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Mwita Maranya umekuja kutafuta nini huku? Mtambuzi anapoongea na dada zake hutakiwi kuja kusikiliza! Ila nilikuwa namaanisha nitaendelea na wewe!

Aaah my swiri wife mwaJ ndo mambo gani tena hayo kunyamazishana kikatili? basi kama ndivyo mwambie huyo kaka yako Mtambuzi akiwa anaongea na dada zake ajitahidi kunong'ona ili mashemeji tusisikie.

Halafu usisahau abiria chunga mzigo wako, sichezi mbali ati, mujini kumejaa mapeshjeeee!!
 
Last edited by a moderator:
Hata wewe pia uligegeda wakati upo kwenye uhusiano, na nafahamu mpk sasa Unagegeda wasicha ihali umeshaoa. kwa hiyo we are in the same Boat! Don't juge me!
Hapana ckuwahi kufanya hivyo
 
Ni kweli kabisa, maisha ni kama Isindigo haiishi.
Kwenye Part sijui kama nitakuja au la! maana bado naomba ruhusa sasa sijui kama nitaruhusiwa au la! tuombe Mungu Mume wangu akubali. akikubali tutakuwa pamoja.

karibu sana ukikosa sababu sema unakuja kwenye kitchen patty, ila sasa akikununulia ungo na masufuria sijui itakuwaje?
 
Back
Top Bottom