Eti uchochezi, uchochezi gani?

Eti uchochezi, uchochezi gani?

Kweli ujaona la maana mpaka sasa alilofanya Magu? Kweli kabisa unaongea toka rohoni? Kwa roho ya namna ukipewa kichapo kwa ukaidi utasema unanyanyaswa?
Taja ww cha maana kipi?
Ndege mbili ambazo TUNAAMBIWA zinakuja?Zipo wapi?
Kajenga viwanda vingapi?
Katoa ruzuku za pembejeo kwa wakulima wa wapi?
Kuhamia Dodoma?
 
Usijifananishe na msichana wa ndani,tatizo ni nini ukiambiwa ka utaki acha kazi mbona neno la kawaida tu kwa bosi yeyote,tatizo mlizoea kubembelezwa hii ndio lugha inayotakiwa
Ishu yangu hapa siyo kwamba siwezi kuacha kazi, mimi naihitaji Serikali kama inavyonihitaji pia ndugu yangu, Serikali ni Tofauti sana na makampuni best, Humu Serikalini watu wanajitoa sana kwa ajiri ya nchi yao na wapo wanaoifanyizia sana Serikali kwa hiyo Kiongozi wa juu kama Rais anaporusha jiwe gizani awe makini sana lisije likamdondokea yule anayeipigania Serikali usiku na mchana akiacha akaingiwa na ile roho ya 'Serikali haina shukrani' akajiunga na wale wanao ifanyizia nchi Rais hawezi kufikia malengo yake katu. Lazima uwe na staha kwa watu unaofanya nao kazi Rais ni mtumishi mwenzetu lakini akileta dharau anaweza asipewe ushirikiano na asijue, hivi unadhani kila mtu anafikiwa kirahisi katika utumbuaji?
 
Ishu yangu hapa siyo kwamba siwezi kuacha kazi, mimi naihitaji Serikali kama inavyonihitaji pia ndugu yangu, Serikali ni Tofauti sana na makampuni best, Humu Serikalini watu wanajitoa sana kwa ajiri ya nchi yao na wapo wanaoifanyizia sana Serikali kwa hiyo Kiongozi wa juu kama Rais anaporusha jiwe gizani awe makini sana lisije likamdondokea yule anayeipigania Serikali usiku na mchana akiacha akaingiwa na ile roho ya 'Serikali haina shukrani' akajiunga na wale wanao ifanyizia nchi Rais hawezi kufikia malengo yake katu. Lazima uwe na staha kwa watu unaofanya nao kazi Rais ni mtumishi mwenzetu lakini akileta dharau anaweza asipewe ushirikiano na asijue, hivi unadhani kila mtu anafikiwa kirahisi katika utumbuaji?
Kuwa m
Taja ww cha maana kipi?
Ndege mbili ambazo TUNAAMBIWA zinakuja?Zipo wapi?
Kajenga viwanda vingapi?
Katoa ruzuku za pembejeo kwa wakulima wa wapi?
Kuhamia Dodoma?
Viwanda huwa havijengwi kwa miezi kadhaa inahitaji muda,hata hiyo nyumba unayoishi haikujengwa kwa miezi kadhaa.
 
Ishu yangu hapa siyo kwamba siwezi kuacha kazi, mimi naihitaji Serikali kama inavyonihitaji pia ndugu yangu, Serikali ni Tofauti sana na makampuni best, Humu Serikalini watu wanajitoa sana kwa ajiri ya nchi yao na wapo wanaoifanyizia sana Serikali kwa hiyo Kiongozi wa juu kama Rais anaporusha jiwe gizani awe makini sana lisije likamdondokea yule anayeipigania Serikali usiku na mchana akiacha akaingiwa na ile roho ya 'Serikali haina shukrani' akajiunga na wale wanao ifanyizia nchi Rais hawezi kufikia malengo yake katu. Lazima uwe na staha kwa watu unaofanya nao kazi Rais ni mtumishi mwenzetu lakini akileta dharau anaweza asipewe ushirikiano na asijue, hivi unadhani kila mtu anafikiwa kirahisi katika utumbuaji?
Ndugu yangu kama umejitolea kufanya kazi serikalini na wewe ni mzalendo kuhamia DODOMA siyo issue,Ka utaki kuletewa za kibosibosi unaweza kujiajiri hautakuwa na bosi.
 
Kuwa m

Viwanda huwa havijengwi kwa miezi kadhaa inahitaji muda,hata hiyo nyumba unayoishi haikujengwa kwa miezi kadhaa.
Huwa inaanza feasible study kabla ya kujenga kiwanda
feasible study ya kujenga kiwanda inachukua years
Lkn inabidi ianze mapema ukichukua tu ofisi na kazi ya kwanza kuliambia Bunge li allocate funds
Hamna "Projected Bugdet"yyt iliyo andaliwa na HAZINA kujenga viwanda so far
Hamna fedha yyt imetengwa kwa upembuzi yakinifu na Bunge so far
Porojo tu!!
Viwanda ni maandalizi mengi kabla hata hujapata hela na TZ hamna andalizi yyt ile
Wkt wa Nyerere tungeona CHINESE kibao wameisha anza kazi
 
Magufuli kasoma Chemistry mpaka Ph.D (ingawa kuna minong'ono kwamba Ph.D kafanyiwa, lakini hata bachelor tu inatosha)

Anatakiwa ajue definition ya catalyst na umuhimu wake katika chemical reaction.

Anavyo act anakuwa kama vile hajui kwamba upinzani unaweza kuwa ni catalyst katika Chemical reaction ya kutafuta maendeleo Tanzania.

Labda wamueleze hivyo kikemia ataelewa, maana siasa hawezi.
Tatizo lililokuwepo wakati wa uongozi wa JK sio lazima liwe tatizo katika zama za awamu ya tano.
Udhaifu wa JK wa kukubali kutokuwa na nguvu kwa wanaokuzunguka, haupaswi kuwa ndio udhaifu wa JPM.
Udhaifu wa mtu kuwa blackmailed na watu influential sio lazima uendelee kuwepo ili watu fulani waweze kusema kwamba nchi inao uhuru wa kuzungumza.
Na sio lazima jana ifanane na leo, kwa kila mtu, hata kama hatuna uhakika kuwa kesho inaweza kuwa bora kutokana na misingi sahihi inayoanza kujengwa leo.
 
Tatizo lililokuwepo wakati wa uongozi wa JK sio lazima liwe tatizo katika zama za awamu ya tano.
Udhaifu wa JK wa kukubali kutokuwa na nguvu kwa wanaokuzunguka, haupaswi kuwa ndio udhaifu wa JPM.
Udhaifu wa mtu kuwa blackmailed na watu influential sio lazima uendelee kuwepo ili watu fulani waweze kusema kwamba nchi inao uhuru wa kuzungumza.
Na sio lazima jana ifanane na leo, kwa kila mtu, hata kama hatuna uhakika kuwa kesho inaweza kuwa bora kutokana na misingi sahihi inayoanza kujengwa leo.
Sio lazima jana ifanane na leo.

Kwa kweli hatutaki jana ifanane na leo. Kwa sababu jana kufanana na leo maana yake ni kukosa maendeleo.

Ila, jana isifanane na leo kwa maendeleo. Sio kwa kurudi nyuma.

Kikwete na udhaifu wake wote, hakuwahi kupiga marufuku mikutano ya kisiasa. Hakuwa na nguvu hizo nje ya hali ya hatari.

Leo Magufuli kapiga marufuku mikutano ya kisiasa, bila kutangaza hali ya hatari. Katangaza hivyo kwa kifungu gani?

Katika hili, kutoka nchi ambayo rais aliruhusu mikutano ya kisiasa kwenda ambako rais kapiga marufuku mikutano ya kisiasa kinyume na katiba, haya ni maendeleo au tunarudi nyuma katika utawala wa sharia?
 
Sio lazima jana ifanane na leo.

Kwa kweli hatutaki jana ifanane na leo. Kwa sababu jana kufanana na leo maana yake ni kukosa maendeleo.

Ila, jana isifanane na leo kwa maendeleo. Sio kwa kurudi nyuma.

Kikwete na udhaifu wake wote, hakuwahi kupiga marufuku mikutano ya kisiasa. Hakuwa na nguvu hizo nje ya hali ya hatari.

Leo Magufuli kapiga marufuku mikutano ya kisiasa, bila kutangaza hali ya hatari. Katangaza hivyo kwa kifungu gani?

Katika hili, kutoka nchi ambayo rais aliruhusu mikutano ya kisiasa kwenda ambako rais kapiga marufuku mikutano ya kisiasa kinyume na katiba, haya ni maendeleo au tunarudi nyuma katika utawala wa sharia?
Kaka huwezi kuishi kwa kutegemea mikutano ya kisiasa kuanzia january mpaka desemba. Huko Marekani ulipo wewe sasa hivi ni kipindi cha kampeni, uchaguzi ukishamalizika, yale yaliyoahidiwa yanaanza kutekelezwa. Hakuna tena maisha ya watu kujazana kwenye mikutano ya kisiasa. Ujinga wa walio wengi hauwezi kubakia kuwa mtaji wa wachache forever.
Nchi ni lazima iwe na CIF mwenye mamlaka, kama JK aliamua kuwa gentleman haina maana huyu wa sasa nae awe gentleman. Rais ni lazima awe na msimamo, kwa ajili ya kulinda heshima ya nchi, vinginevyo hafai kuwa CIF. Huyo huyo JK ambaye leo anaonekana malaika, aliitwa dhaifu kwa sababu ya kuuchekea upuuzi, maisha kwa maana ya mtazamo wa rais, ni lazima yabadilike kwa faida ya wengi.
 
[HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG] Mwaka huu mtanena kwa lugha zote lakini lazima mnyooke...hakuna maigizo hapa ni kazi tu.
Comment kama hizi huwa nachekaaa....ukiwa karibu jamaa anaweza kukutishia kitu cha ncha kali
 
Kaka huwezi kuishi kwa kutegemea mikutano ya kisiasa kuanzia january mpaka desemba. Huko Marekani ulipo wewe sasa hivi ni kipindi cha kampeni, uchaguzi ukishamalizika, yale yaliyoahidiwa yanaanza kutekelezwa. Hakuna tena maisha ya watu kujazana kwenye mikutano ya kisiasa. Ujinga wa walio wengi hauwezi kubakia kuwa mtaji wa wachache forever.
Nchi ni lazima iwe na CIF mwenye mamlaka, kama JK aliamua kuwa gentleman haina maana huyu wa sasa nae awe gentleman. Rais ni lazima awe na msimamo, kwa ajili ya kulinda heshima ya nchi, vinginevyo hafai kuwa CIF. Huyo huyo JK ambaye leo anaonekana malaika, aliitwa dhaifu kwa sababu ya kuuchekea upuuzi, maisha kwa maana ya mtazamo wa rais, ni lazima yabadilike kwa faida ya wengi.
Yesu alisema mwanadamu haishi kwa mkate tu, bali pia kwa neno la bwana (I am using this as a secular philosophy, so don't pee your pants Jesus freaks).

Lakini hakupiga marufuku mkate.

Ni kweli huwezi kuishi kwa kutegemea mikutano ya siasa tu. Lakini nani kasema wapinzani wanataka kuishi kwa kutegemea mikutano ya siasa tu? Na kama wanataka kuishi hivyo, tatizo liko wapi as long as katiba inawaruhusu?

Rais anapata wapi mamlaka ya kupiga marufuku mikutano ya kisiasa wakati katiba imetoa haki hiyo?

Una hakika Marekani hakuna maisha ya watu kujazana kwenye mikutano ya kisiasa uchaguzi ukishamalizika? Na hata ikiwa hivyo kwa nini tutupe katiba yetu na kuwafuata Wamarekani? Wamarekani wanakubali ushoga, na sisi tukubali ushoga kwa sababu Wamarekani wamekubali ushoga?

Rais kuvunja katiba ni msimamo au uharamia?

Rais kuvunja katiba kunalindaje heshima ya nchi?

Nchi kuweka katiba halafu rais kuivunja ndiyo unaona si upuuzi, ila kuilinda katiba ndiyo unaona upuuzi?
 
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
auko mbali? defenda haijafika hapo ulipo, miafrika ndivyo tulivyo haisee
 
Yesu alisema mwanadamu haishi kwa mkate tu, bali pia kwa neno la bwana (I am using this as a secular philosophy, so don't pee your pants Jesus freaks).

Lakini hakupiga marufuku mkate.

Ni kweli huwezi kuishi kwa kutegemea mikutano ya siasa tu. Lakini nani kasema wapinzani wanataka kuishi kwa kutegemea mikutano ya siasa tu? Na kama wanataka kuishi hivyo, tatizo liko wapi as long as katiba inawaruhusu?

Rais anapata wapi mamlaka ya kupiga marufuku mikutano ya kisiasa wakati katiba imetoa haki hiyo?

Una hakika Marekani hakuna maisha ya watu kujazana kwenye mikutano ya kisiasa uchaguzi ukishamalizika? Na hata ikiwa hivyo kwa nini tutupe katiba yetu na kuwafuata Wamarekani? Wamarekani wanakubali ushoga, na sisi tukubali ushoga kwa sababu Wamarekani wamekubali ushoga?

Rais kuvunja katiba ni msimamo au uharamia?

Rais kuvunja katiba kunalindaje heshima ya nchi?

Nchi kuweka katiba halafu rais kuivunja ndiyo unaona si upuuzi, ila kuilinda katiba ndiyo unaona upuuzi?
Huwezi ukaishi kwa kutegema UKUTA na vitu kama hivyo kwa maisha yako yote ya kisiasa. EL aliwaambia viongozi wa CDM kwamba kuna kipindi inafika zile siasa za uanaharakati zinakuwa zimeshapitwa na wakati.
Kuna kipindi inabidi wakue kimikakati, waje na strategies zenye kuendana na dunia ya sasa.
Marekani, Canada na kwingineko wanafanya siasa tofauti na sisi, huko nje hakuna habari za rais kufungua daraja, au kufungua kiwanja cha ndege. Nchi hizo zilishaendelea siku nyingi, sisi huku bado kufungua madaraja na viwanja vya ndege ni habari ya saa mbili usiku.
Tunazo fursa kibao za kimaendeleo, tutakuwa tumeukubali ujinga iwapo tutakubali kumezwa kwenye siasa za uanaharakati, na kutoutambua ukweli kwamba nchi jirani kama Rwanda na Kenya hazina muda wa kuendekeza siasa za kupeana sifa za kitoto.
 
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.

Huyu jamaa alivyochukua nchi alinipa moyo jinsi alivyoanza na nikaandika thread ya kumsifia hapa JF. Hata ivyo sasa hivi nimebadili mawazo kutokana na mambo anayoyafanya. Pia hajaonyesha mwelekeo thabiti kwenye mambo ya maendeleo na kiuchumi. Mpaka sasa wananchi wanachosikia ni amri za hapa na pale kutoka kwake na wasaidizi wake.
 
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
wanachochea ugali
 
Back
Top Bottom