Eti uchochezi, uchochezi gani?

Eti uchochezi, uchochezi gani?

Unamaana gani kwao hakuna first born mkuu? Manake huyu jamaa kuna kitu anajaribu kukificha kwenye public


yeye wa nne kwao kuzaliwa sio first born

nimesema kwao hakuwa first born sijasema hakuna first born
 
tuzidishe kumuombea maana wao wameona hii ndo njia ya kuondoa umasikini
 
Haijawahi kutokea Tanzania kupata kiongozi mbovu....toka uhuru kama huyu ngosha..a.k.a MFALME J.U.H.A. Mimi nimeanza mfungo rasmi ili Mungu atende mema na kuokoa jahazi....maana katika kondoo mia akipotea mmoja wakabaki 99 salama ni heri zaidi kuliko hii kadhia ambayo watanzania wanaipata kwa sasa. Poteleaaa mbali...kuanza upya sio ujinga.....MUNGU POKEA SALA ZANGU!
Kama anasoma hapa na hivi kila siku anasema niombeeni sijui anajua watu wanacho muombea ?
 
Kwamba tulizoea corruption na kilio kwamba maisha yamekuwa magumu kinamaanisha "bring back corruption" au anti-corruption strategies za utawala huu ni za kienyeji, over-simplified? Kuna mjadala unaendelea kuhusu suala hili. Someone (a scholar, for sure) wrote somewhere: "Can you dig more deeply into the Tanzanian narrative and maybe you and I can do a think piece, a short theoretical intervention that urges scholars and policy experts to reckon with how a narrow focus on anticorruption without attention to corruption's social character and without the implementation of easing and ameliorative mechanisms in the economy can in fact worsen conditions and hurt the very people the anti-corruption measures are designed to help. This would be a short, provocative debate starter and I'm sure we can place it in a respectable journal or an E-zine like Pambazuka. I'm envisioning it as a critique of blind devotion to the neoliberal jargons, buzzwords, and grammar of anticorruption, a devotion that fails to reckon with how some of what we call corruption in the lingo of modern democratic governance is, for good or bad, integral to the economic wellbeing of many citizens and must therefore be carefully engaged in crafting a realistic anticorruption regime that will not kill the economy in the process of combating graft. When I was reflecting on this issue what came to my mind was the axiom that scholars should engage with the world as it is not as they wish it to be. In other words, the "bring back corruption" narrative that is percolating in Nigeria and Tanzania (and perhaps in other countries) should not simply be dismissed as an anomalous, fleeting sentiment. We must take it seriously and engage it as a poignant expression of the hardship people are experiencing, of actual conditions in these countries."
Unakalili maisha
 
Yeah. Yahoo ate my first website. Waay before Facebook I had all kinds of crazy articles about Black Holes and Quantum Physics way up there.E books too.

They didn't even give me proper notification so I could back it up!
Kabla ya hapo tulianza na Aliweb. Wewe ulikua bado mwanafunzi Tambaza.
 
Kila kukicha afadhali ya jana

Kiukweli tanzania bado tupo kwenye majaribio makubwa
 
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Jiangalie kijana! Sio zama za Jk hiz.
 
kuweni makini jamani milioni 7 nyingi sana unamnunulia mchepuko kapasso kabisa!!!! ooooh sory nimesahau kumbe kuna railway levy?? sasa passo sijui itakuwa milioni 9 saiv?
 
Anasema matajiri waishi kama mashetani, naona hii kauli inatimia kweli maana big businesses zinauliwa moja baada ya nyingine, na kati ya zinazouliwa nyingi ni ambazo ni completely legal, basi tu for the sake of making a name they decide lets take them down. Its completely ignorant. Kama hivi vyombo vya habari I was really shocked, what the hell is this guy doing? Nimeogopa kabisa kufanyia kazi zangu Tz, I can't work anywhere ambapo they could take you down any minute just because they woke up on the wrong side of the bed, hakuna rule of law.
 
Back
Top Bottom