Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,152
- 137,156
- Thread starter
- #321
Check wanavyofukua Makaburi bila kujua msimamo wa GT
Ndo maana wanaitwa wapumbavu.
Wanadhani labda wamevumbua mgodi wa dhahabu wakati msimamo wangu unajulikana wazi.
Nishamchana Magufuli humu mara kibao tu na nimeshawachana CHADEMA pia.
Sasa hawa nyumbu sijui walikuwa wapi!