Ze General
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 1,508
- 1,256
Hahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
Hawakumaanisha Mungu huyo unaye msema bali walimaanisha mungu huyu.
Hahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
Endelea kuogopa it's up to you✌Na
Naogopa!
Jaman najuta Mie, namkumbuka mbaya, mambo yako hovyo hovyo sahiviWacheni uchochezi! Mlimtukana sana baba yake Ritz mkiamini mswahili hawezi uongozi ni dhaifu. Kwa kuwa naye "mswahili" akawajibu kwa kiswahili nawaletea mkali asiye mswahili. Sasa mnalalama nini?
Duuuuh kuwa kwako ng'ambo kunakuziba macho na masikio...Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.
Aisee Mie ntakuwa mmojawapo, really am tiredSs hv ukitaka kutoa maoni mtandaoni lazima uwaze cha kuandika
Hawakawii kutukamata
Na JF yetu ikibaki salama sijui nadhani wanaitamani sana.
Wacha niendelee kusubiri Sept Mosi nkaandamane mie
wewe lazima ukaione segereaJitu lenye upara ka uwanja wa mpira.. Hekima less kabisa
It's all about kusifia na vigeregereYani hapa sielewi kabisa what is going on in Tz
Haijawahi kutokea Tanzania kupata kiongozi mbovu....toka uhuru kama huyu ngosha..a.k.a MFALME J.U.H.A. Mimi nimeanza mfungo rasmi ili Mungu atende mema na kuokoa jahazi....maana katika kondoo mia akipotea mmoja wakabaki 99 salama ni heri zaidi kuliko hii kadhia ambayo watanzania wanaipata kwa sasa. Poteleaaa mbali...kuanza upya sio ujinga.....MUNGU POKEA SALA ZANGU!
Wacheni uchochezi! Mlimtukana sana baba yake Ritz mkiamini mswahili hawezi uongozi ni dhaifu. Kwa kuwa naye "mswahili" akawajibu kwa kiswahili nawaletea mkali asiye mswahili. Sasa mnalalama nini?
Hahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
Me naisubiri Tanzania ya viwanda
Kweli ujaona la maana mpaka sasa alilofanya Magu? Kweli kabisa unaongea toka rohoni? Kwa roho ya namna ukipewa kichapo kwa ukaidi utasema unanyanyaswa?Mwaka sasa unapita toka awepo madarakani Rais Magufuli
Sijaona la maana zaidi ya kuendelea kutoa ahadi
Utawala wa kulipeleka jeshi barabarani kupambana na wapinzani
Ahadi zake ZOTE hata moja haipo hata kwenye maandalizi