Eti uchochezi, uchochezi gani?

Eti uchochezi, uchochezi gani?

Halafu nyumbu siku hizi kutwa kucha wanadai eti mimi namuunga mkono/ namtetea Magufuli kwa sababu ya ukabila!

Lakini kama watu wenyewe ni manyumbu unategemea nini zaidi ya unyumbu tu?
 
Halafu nyumbu siku hizi kutwa kucha wanadai eti mimi namuunga mkono/ namtetea Magufuli kwa sababu ya ukabila!

Lakini kama watu wenyewe ni manyumbu unategemea nini zaidi ya unyumbu tu?
Check wanavyofukua Makaburi bila kujua msimamo wa GT
 
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.

Nyani haoni kundule..!
 
Sifa moja kuu ya mtanzania ni UNAFIKI. Liangalie sasa linyani Ngabu. Limekuja kugundua baadaye Para Sizonje ni kabila lake

With your pea-sized brain I don't expect you to understand principles.
 
I don't give a shyt about principles when it comes to the zero brains of the same genes from the same ethnicity (bashite)

You don't give a shit because you don't have the intellectual wherewithal to give a shit.
 
Unajua uhuru ni kitu kizuri sana maishani.

Watu hata kama wako maskini lakini wakiwa na uhuru watajisikia vizuri na watakuwa wenye furaha.

Sasa huyu jamaa hata mwaka hajamaliza tayari keshatengeneza hali na mazingira ya watu kujisikia hawako huru.

Kama kuna mchochezi namba moja basi usitafute mwingine zaidi ya Magufuli.

Hehehehehe... Wamefukua slediiii
 
Back
Top Bottom