Eti uchochezi, uchochezi gani?

Eti uchochezi, uchochezi gani?

Tusubiri UKUTA ukiisha hiyoo sababu ya uchochezi tuone kama utaisha. Maana kilaa kitu kimekuwa uchochezi...

Serekali inazidi kujiongezea maadui. Vyombo vya habari vinne. Wafanyakazi watakuwa na hali gani.
 
Mahakamani wana idara au kitengo cha ueleweshaji?
Ibara ya 13(3) ya Katiba ya Tanzania 1977 inasema;
''Haki za raia, wajibu na maslahi ya kila mtu na jumuiya ya watu yatalindwa na kuamuliwa na Mahakama na vyombo vinginevyo vya Mamlaka ya Nchi vilivyowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria''.
Kwa hiyo zinapimwa kwa kutumia hisia zako wewe?
Hekima na busara za Rais wa Tanzania zinapimwa kwa kutumia sanduku la kura au Ibara ya 37(2) ya Katiba ya Tanzania.
Kwa mujibu wa Nyani Ngabu.
Nyani Ngabu is noboby!
 
Ni upumbavu mtupu, kurupuka ya kapuku
Uzamivu wa wivu, uza mbivu kwa saba buku
Baba kakaba LUKU, siasa kahaba shuku
Sio Wamakonde Maraba lakini kwa mahaba ya kuku
Tutakula mpaka panya buku chukuchuku
Dukuduku, OSS, aliye juu mpandie, usimngoje hukuhuku
Chai kwa pipi, sukari kiki
Elimu bure vipi huku redio unafungia?
Misukule pipi wenzio unatuungia?
Idi Amin asiye makini, nyama la baharini
Majina manne ubini, diva kwini, kingi wa magirini
Pol Pot, Ze Comedy Joti, baba mkusanya noti
Gusa shoti, samasoti, mwendo wa speedboti
Baba bwabwaja, jinga la haja, baja kaja
Paji kaa paja, Opobo Jaja, Black Maharajjah
Bwabwa kiporo, watu kihoro, limelala doro
Chini godoro, Dar mpaka Moro, twapitia Muhoro?
Serikali kali, bila uhalali, kwa mtaji wa shari
Hii manuwari, itenda muhali, vipi hadi dahari?
Chama mrama, ndama kapama, maziwa yahama
Hili drama la karma kama Obama na Osama
 
Nani kavunja amani?

Wavunjifu wa amani ndo hao hao polisi na CCM yao.
Ajabu kabisa Kaka, Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Polisi walitanda kial kona kuhakikisha hakuna njama na kumzuia Magu kuwa Mwenyekiti wa Chama,
Lakini kwenye Mkutano waCUF, Polisi ndio waliokuwa wanamuingizakwa Nguvu Mjumbe (Lipumba) asiyestahili kuingia kwenye mkutano ule, na hata fujo zilipotokea hakunaPolisi aliyeingia kuzuia fujo zile, sasa hapo nani ni mvunjifu wa Amani?
 
Nani kavunja amani?

Wavunjifu wa amani ndo hao hao polisi na CCM yao.
Utaambiwa ni viongozi wa CDM wanaoshtakiwa kwa kusingiziwa makosa yasiyo na kichwa wala miguu!
'Utawala uliofitika.....'
 
Ni upumbavu mtupu, kurupuka ya kapuku
Uzamivu wa wivu, uza mbivu kwa saba buku
Baba kakaba LUKU, siasa kahaba shuku
Sio Wamakonde Maraba lakini kwa mahaba ya kuku
Tutakula mpaka panya buku chukuchuku
Dukuduku, OSS, aliye juu mpandie, usimngoje hukuhuku
Chai kwa pipi, sukari kiki
Elimu bure vipi huku redio unafungia?
Misukule pipi wenzio unatuungia?
Idi Amin asiye makini, nyama la baharini
Majina manne ubini, diva kwini, kingi wa magirini
Pol Pot, Ze Comedy Joti, baba mkusanya noti
Gusa shoti, samasoti, mwendo wa speedboti
Baba bwabwaja, jinga la haja, baja kaja
Paji kaa paja, Opobo Jaja, Black Maharajjah
Bwabwa kiporo, watu kihoro, limelala doro
Chini godoro, Dar mpaka Moro, twapitia Muhoro?
Serikali kali, bila uhalali, kwa mtaji wa shari
Hii manuwari, itenda muhali, vipi hadi dahari?
Chama mrama, ndama kapama, maziwa yahama
Hili drama la karma kama Obama na Osama

Karma itamlipa Magufuli
 
Miaka mitano ya kupambana na Chadema masuala ya maji ,ajira,umeme kutokomeza umasikini tuyasahau tusubiri awamu ya sita.
Wapiganapo mafahari wawili ziumiazo nyasi Watanzania wataumia kwa miaka mitano .
 
Haijawahi kutokea Tanzania kupata kiongozi mbovu....toka uhuru kama huyu ngosha..a.k.a MFALME J.U.H.A. Mimi nimeanza mfungo rasmi ili Mungu atende mema na kuokoa jahazi....maana katika kondoo mia akipotea mmoja wakabaki 99 salama ni heri zaidi kuliko hii kadhia ambayo watanzania wanaipata kwa sasa. Poteleaaa mbali...kuanza upya sio ujinga.....MUNGU POKEA SALA ZANGU!
 
Labda sijui kiswahili vizuri Kwani kuchochea ni kosa?

Upinzani Kigoma wadaiwa kuchochea maendeleo

Nikichochea maendeleo nitakamatwa ?🙄
Magufuli kasoma Chemistry mpaka Ph.D (ingawa kuna minong'ono kwamba Ph.D kafanyiwa, lakini hata bachelor tu inatosha)

Anatakiwa ajue definition ya catalyst na umuhimu wake katika chemical reaction.

Anavyo act anakuwa kama vile hajui kwamba upinzani unaweza kuwa ni catalyst katika Chemical reaction ya kutafuta maendeleo Tanzania.

Labda wamueleze hivyo kikemia ataelewa, maana siasa hawezi.
 
Magufuli kasoma Chemistry mpaka Ph.D (ingawa kuna minong'ono kwamba Ph.D kafanyiwa, lakini hata bachelor tu inatosha)

Anatakiwa ajue definition ya catalyst na umuhimu wake katika chemical reaction.

Anavyo act anakuwa kama vile hajui kwamba upinzani unaweza kuwa ni catalyst katika Chemical reaction ya kutafuta maendeleo Tanzania.

Labda wamueleze hivyo kikemia ataelewa, maana siasa hawezi.
Utachonga sana mwaka huu.
 
Uchochezi ni njia mojawapo ya vyanzo vya mapato. Ukikutwa milion 25,wakipata 10 hiv wanapesa nzuri.
Ngoja tuone. Usiyempenda kaja
 
Back
Top Bottom