dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,829
- 3,733
Hiyo ilikuwa zaman ila kwa sasa huyu ni "mungu"Hahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
Hiyo ilikuwa zaman ila kwa sasa huyu ni "mungu"Hahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
Ana dharau sana kwetu sisi watumishi, anasema tuhamie tu Dodoma kama hatutaki tuache kazi... hii ni lugha ya dharau sana kwa mtu unayefanya naye kazi. Hata msichana wako wa kazi ukimuambia nataka uwe unawahi kuamka kama hutaki acha kazi, tayari unakua umemjengea kitu kichwani
Duu haya bana, lakini mimi nipo makini sana kuchagua viongoziAmesema ukweli...kama hamtaki anzeni mbere... Wafanyakazi wa serikali si ndio wenyewe mlikuwa mbele kumchagua... sasa isomeni namba muelewe.. Safi sana.
Weka ushahidi kuwa hilo ndo jina langu la ukweli.Polisi kamata hii mtu fasta! Jina lake halisi ni Julius Maghembe au Magembe
Don't worry. No one knows my real name in here because no one has ever seen my ID card or birth certificate!Huyu kafanya a very direct kabisa "name-calling" ila hajapigwa ban. Ila mimi, yale maneno ya kusema 'natilia mashaka hii ID' yalitosha kunipiga ban fasta fasta (within 10 minutes) kwa tuhuma za "name-calling". Ama kwa hakika sasa nimeamini moja kati ya mambo mawili
1.Kuna baadhi ya wanasiasa wameshapenyeza 'watu wao' ndani ya JF ambao ni moderators na wanawalinda kwa gharama yoyote ile, kama yule mheshimiwa niliemtilia shaka na kupelekea mimi kupigwa ban ya kipuuzi; au
2.Humu JF hakuna equal treatment kwa members wote mnaangalia majina!!
Cc JamiiForums chakii Invisible
Wacha atumie muda mwingi kuwabana sasa hivi kabla hawachukulia mazoea yale ya kuchekewachekewa. mwanzoni nguvu kubwa wakishaelewa hamna nguvu itakaypotukima kila mtu atafuata Sheria na Taratibu za nchi. Walilemazwa wakajua ndio kawaida!Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.
Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?
Kumpindua Magufuli?
Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.
Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.
Hovyo kabisa!
Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Usijifananishe na msichana wa ndani,tatizo ni nini ukiambiwa ka utaki acha kazi mbona neno la kawaida tu kwa bosi yeyote,tatizo mlizoea kubembelezwa hii ndio lugha inayotakiwaAna dharau sana kwetu sisi watumishi, anasema tuhamie tu Dodoma kama hatutaki tuache kazi... hii ni lugha ya dharau sana kwa mtu unayefanya naye kazi. Hata msichana wako wa kazi ukimuambia nataka uwe unawahi kuamka kama hutaki acha kazi, tayari unakua umemjengea kitu kichwani
Usijifananishe na msichana wa ndani,tatizo ni nini ukiambiwa ka utaki acha kazi mbona neno la kawaida tu kwa bosi yeyote,tatizo mlizoea kubembelezwa hii ndio lugha inayotakiwa
Ngabu ama wewe ni mchovu kama kauli za haou watuhumiwa kuchochea basi subiri wakutusi weweHizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.
Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?
Kumpindua Magufuli?
Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.
Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.
Hovyo kabisa!
Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Kamanda mzima unakuwa muoga kiasi hiki. Sasa kama ndio hivyo nani atatokea kwenye maandamano tarehe mosi Septemba?mawazo ya upande mmoja hayawezi kamwe kulisogeza taifa mbele. Sasa kila mtu ni wasiwasi tu, muda wowote unaweza pia kuambiwa imechochea moto.
Aman ipi iliyovunjwa. Hawa watu bana.Polisi wanasema uvunjifu wa amani. Mimi mwenyewe najiuliza sipati majawabu.
Hahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
Aman ipi iliyovunjwa. Hawa watu bana.