Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,289
..
Watoto wadogo hawajui
Watoto wadogo hawajui
Mungu huwa hakosei kuchagua! Anajua yai viza ni lipi na zuri ni lipi!Hahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
....Haha haha haha huu ni ukweli mtupu haha haha haha usalama wa JF upo hatarini
All the best nigga!Uzalendo kupungua kwa asilimia chache Ya wananchi ni jambo la kawaida kwenye nchi yeyote,hata huko yankee sio raia wote wanakupenda,ni bora hayo maandeleo kuchelewa kuliko kuwa na demokrasi Ya kulazimishwa Kama ya kulazimishwa Kama Ya Libya.
Thanks.All the best nigga!
Yaani ubabe wa "school yard" ndo jamaa anauleta kwenye kazi muhimu kama Urais.
mmeambiwa mtafwatwa hukohuko mnapobeba box kwa gharama xoxote usa babyHizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.
Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?
Kumpindua Magufuli?
Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.
Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.
Hovyo kabisa!
Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Hakuna uchochezi wala nini,,,,,Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.
Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?
Kumpindua Magufuli?
Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.
Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.
Hovyo kabisa!
Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Mmmmh hata tundu lissu aligoma kusema hili ni chaguo la.MunguHahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
Hata kuwa kiongozi wa nyumba kumi hakunamimi niliposikia tu kwao hakuwa First born nilijiuliza sana
Kawaida first born wanakuwaga natural leaders
Yaani ubabe wa "school yard" ndo jamaa anauleta kwenye kazi muhimu kama Urais.
msomi PHD!Hahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
ili aangamizeHahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
Niliwahi kusoma mahala kwamba kiongozi yeyote asiye jiamini, huwa hapendi uhuru wa watu wa kutoa maoni yao na wala hawezi shiriki mikutano mikubwa ya watu wa ngazi yake maana uwezo wake utaonekana wazi wazi.......... sitashtuka nikisikia Nyani Ngabu kashtakiwa kwa hii threadHizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.
Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?
Kumpindua Magufuli?
Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.
Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.
Hovyo kabisa!
Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Anaweza akawa Rais wa awamu moja.
Watu kama akina January usione wapo kimya, waswahili wanasema ukiona Kobe kainama ujue anatunga Sheria.
Miezi 10 madarakani, kaharibu kila kitu. Wananchi, Wanasiasa, Wafanyabiashara hata Watumishi hawana amani na huyu jamaa!!