Jamani kule unaongea nini kama sio upashkuna au ushankupe? Tatizo wanaume wengi wa hapa wataongea ila end of the day kazi kwao. Sisi tulivyofundwa ki ukweli mimi sikufundishwa kula koni, pipi mti etc.Nilifundishwa kufua, kupika, Sasa watoto wa DOTCOM, wanakula koni kisa wameona kwenye TV, hawa wandugu zetu msiotosheka mnaenda kutest zali ukirudi nyumbani umepagawa, hushikiki matusi kedekede kuwa mimi mshamba sasa tatizo la nani hapo? Kwa utu uzima wangu huu nijifunze kufanya vitu ambavyo kwangu naona hamna faidai ili kukuretain wewe? Who is responsible wandungu?
Michosho tu! mapenzi ukiyatafakari hakuna anayemtosheleza mwenzio tunaishi kwa mapenzi ya Mungu! we better keep that.
Mahaba yapo tz(au ilikuwa zamani)...ila uchakachuaji au usasa unayaangamiza...tuna shida ktk mawasiliano-mapenzi sasa.. tena kubwa sana tuwe wakweli..hatuchagui maneno...mahaba yanajengwa na kauli(maneno mazuri),vitendo(vijizawadi,macho ya huba,furaha nk)...na hasa vikifanywa mapema..
Mhhhh...Sasa na wewe unataka kutoa mpya,
Hivi inawezekanaje uzae watoto (siyo mtoto) na mtu yule yule kwa kubakwa??? Halafu ukae naye mpala mnaona wajukuu!!
Bwana hapo mahaba yapo hata kama siyo kwa vigezo vyenu!!
Wewe Moria sasa unaleta kionjo kipya kwenye mjadala...Kufanywa mapema unamaana kabla ya kuzama bedroom au kabla umri haujaenda?
Hebu tufafanulie kidogo,
Babu walioko kwenye abusive relationships wanawezakutoa ushuhuda juu ya hili. Haki zao za ndoa zinabakwa na wanajikuta wanalazimika kuendelea kuzaa kwa kuwa tu ni wajibu wao kama mke.
Sawa Mj 1 kuzaa,umri siyo vigezo vya kujua mahaba...mahaba mtu hazaliwi anayajua...ni wajibu kujifunza..
DC mahaba lazima yaanze mapema kabla ya kuzama room...baba ni busara arudi kwake mapema apokelewe(zawadi)...amjulie hali mkewe atamweleza yaliyojiri huko..naye ataelezwa yaliyojiri home(w'ke hupenda kusikilizwa) hapa ndipo mke huangushiwa sifa za kutosha na mumewe pamoja na chokozi mbalimbali macho yakiwamo...kwa room nako mapema ni busara kuzungumza,kusifia,KUSIKILIZA,kubembeleza nk...maandalizi haya humsaidia mume kujicontrol(45min first half)..hapa mke huangusha kilio-huba cha ukweli..
Ndiyoo...siyo Bosi tu..na sisi tumekuelewa..very funny aisee.....
sijui hata wewe kwa nini tu hutaki kutuelewa. ukitimiza wajibu kama baba tutashukuru (you are a responsible hubby)
but when you go an extra mile to make your partner feel as if she is in heaven (haijalishi hiyo maili ya ziada ni ipi tofauti na majukumu ya mume) hapo ndo unapokuwa romantiki sasa. nifate mtoni unisaidie kibuyu cha maji, nitanie tanie kwa manjonjo, niite majina yatakayonifnya nijiskie mi ndo malkia wa himaya yako.....aaah acha uguruguru Bosi bana! nini huelewei hapa?
Hapo kwenye zawadi hapo mpenzi wangu ndipo palipozua makubwa...............haya ukija na mboga kwa ajili ya chakula cha jioni si ni zawadi? au wajibu?
Huko kwingine mwe.......naomba niwe mwanafunzi wako tafadhali!
Haaaaaaaaaaaaaaaa eti hawajui romance mwanajamii mi nakubaliana kabisa na dc gunia la mkaa kuku na bata dume likiongezeka mbona full mahabati maana mpaka watoto wanafidi mahaba indirect lo!ongeza na korosho pale kibaha kama ndio unatokea mbeya mweeeeeeeeeeeeeeeeee
....nadhani kwa jinsi utetezi wa kuletewa kuku na gunia la mkaa unavyoendelea hapa, mbu napata picha kinachotetewa hapa ni uhalalishwaji wa kwamba ni "wajibu wa mke" kutafuta kuni za kupikia chakula cha mumewe na familia, ndio maana siku akimuona mumewe kamtunuku kumletea gunia la mkaa ashukuru!
....hilo la kuku, linanikumbusha "jukumu' la mke" kutafuta matembele, kisamvu , uyoga nk kwa mlo wa familia...
na siku mume akibahatika kuleta kuku basi firigisi, paja na kidari atatengewa mume....---na watoto waambulie shingo na vipapatio huku wakiambiwa 'furahieni sikukuu yenu leo....!'
Loh kwa tafsiri hii Mbu itanibidi tu nibwage manyanga chini na kusubiri mahaba.
....nadhani kwa jinsi utetezi wa kuletewa kuku na gunia la mkaa unavyoendelea hapa, mbu napata picha kinachotetewa hapa ni uhalalishwaji wa kwamba ni "wajibu wa mke" kutafuta kuni za kupikia chakula cha mumewe na familia, ndio maana siku akimuona mumewe kamtunuku kumletea gunia la mkaa ashukuru!
....hilo la kuku, linanikumbusha "jukumu' la mke" kutafuta matembele, kisamvu , uyoga nk kwa mlo wa familia...
na siku mume akibahatika kuleta kuku basi firigisi, paja na kidari atatengewa mume....---na watoto waambulie shingo na vipapatio huku wakiambiwa 'furahieni sikukuu yenu leo....!'
....mfumo dume at 120km/h....
sio mjini sio vijijini...wa mjini ataachiwa shs 1000/= abajeti kila kitu, mkaa, ndoo ya maji, nyanya, mchele, nazi, vitunguu, na jioni mume akirudi akute chakula cha kumtosha, ale ashibe na maji ya kukoga tena ya moto yawepo bafuni...
ni juu ya mwanamke ku bargain huko na wauzaji gengeni/sokoni....
...mahaba hayo!
Wee acha tu....!!! Yaani tumeishi hadi miguu imeota kutu na nywele zimeisha kichwani...wajukuu hao wanatuimbia nyimbo kila dakika. Halafu tunaelezwa kuwa hatujui.....Ni kesi kubwa tu na laiti ningejua hakimu wa kunisaidia ningefungua kesi ya madai kwa wote wanaodai hatujui!!
Ha ha ha umepatia kabisa mie flat screen haihuu kabisa mie ni 6*6 ndo mpango mzima
....nadhani kwa jinsi utetezi wa kuletewa kuku na gunia la mkaa unavyoendelea hapa, mbu napata picha kinachotetewa hapa ni uhalalishwaji wa kwamba ni "wajibu wa mke" kutafuta kuni za kupikia chakula cha mumewe na familia, ndio maana siku akimuona mumewe kamtunuku kumletea gunia la mkaa ashukuru!
....hilo la kuku, linanikumbusha "jukumu' la mke" kutafuta matembele, kisamvu , uyoga nk kwa mlo wa familia...
na siku mume akibahatika kuleta kuku basi firigisi, paja na kidari atatengewa mume....---na watoto waambulie shingo na vipapatio huku wakiambiwa 'furahieni sikukuu yenu leo....!'
Ha ha ha umepatia kabisa mie flat screen haihuu kabisa mie ni 6*6 ndo mpango mzima
....mfumo dume at 120km/h....
sio mjini sio vijijini...wa mjini ataachiwa shs 1000/= abajeti kila kitu, mkaa, ndoo ya maji, nyanya, mchele, nazi, vitunguu, na jioni mume akirudi akute chakula cha kumtosha, ale ashibe na maji ya kukoga tena ya moto yawepo bafuni...
ni juu ya mwanamke ku bargain huko na wauzaji gengeni/sokoni....
...mahaba hayo!
Babu walioko kwenye abusive relationships wanawezakutoa ushuhuda juu ya hili. Haki zao za ndoa zinabakwa na wanajikuta wanalazimika kuendelea kuzaa kwa kuwa tu ni wajibu wao kama mke.
DC mahaba lazima yaanze mapema kabla ya kuzama room...baba ni busara arudi kwake mapema apokelewe(zawadi)...amjulie hali mkewe atamweleza yaliyojiri huko..naye ataelezwa yaliyojiri home(w'ke hupenda kusikilizwa) hapa ndipo mke huangushiwa sifa za kutosha na mumewe pamoja na chokozi mbalimbali macho yakiwamo...kwa room nako mapema ni busara kuzungumza,kusifia,KUSIKILIZA,kubembeleza nk...maandalizi haya humsaidia mume kujicontrol(45min first half)..hapa mke huangusha kilio-huba cha ukweli..