GE2025 Ethiopia, Bwawa la Umeme kubwa zaidi kwa fedha za ndani na michango huku CCM wakichangisha Bil.86 kwa ajili ya Kampeni alafu tuunanuna Umeme Ethiopia

GE2025 Ethiopia, Bwawa la Umeme kubwa zaidi kwa fedha za ndani na michango huku CCM wakichangisha Bil.86 kwa ajili ya Kampeni alafu tuunanuna Umeme Ethiopia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
IMG-20250910-WA0022.jpg
IMG-20250910-WA0023.jpg
Screenshot_20250910_122647_Chrome.jpg


Siku zote nasema.

Bila kuwaondoa CCM madarakani, Tanzania tutakuwa tunacheza biashara ya pata potea kila siku.

Nchini Ethiopia, Serikali yao wamekamilisha ujenzi wa Bwawa la Umeme kubwa zaidi Afrika kwa kutumia fedha za ndani na michango ya Wananchi wao hasa Diaspora.

Hayo yakifanyika, hapa kwetu Tanzania CCM wamechangisha harambee ya Bil 86 kwa ajili ya kufanya kampeni tu wakati tunanunua Umeme kutoka Ethiopia kwa mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania.

Hayo yakifanyika Vigogo wa kisiasa na familia zao wana flex na magari ya kifahari kwenye mitandao ya kijamii pamoja na maeneo mbalimbali kwa fedha za kifisadi huku maeneo mengi ya Tanzania yakiwa hayana hata maji ya uhakika ya kunywa pamoja na miundombinu ya uhakika ya barabara na hospitali.

CCM ni laana kwa Taifa letu.

No Reforms No Election✊️✌️
 
View attachment 3469066View attachment 3469067View attachment 3469068

Siku zote nasema.

Bila kuwaondoa CCM madarakani, Tanzania tutakuwa tunacheza biashara ya pata potea kila siku.

Nchini Ethiopia, Serikali yao wamekamilisha ujenzi wa Bwawa la Umeme kubwa zaidi Afrika kwa kutumia fedha za ndani na michango ya Wananchi wao hasa Diaspora.

Hayo yakifanyika, hapa kwetu Tanzania CCM wamechangisha harambee ya Bil 86 kwa ajili ya kufanya kampeni tu wakati tunanunua Umeme kutoka Ethiopia kwa mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania.

Hayo yakifanyika Vigogo wa kisiasa na familia zao wana flex na magari ya kifahari kwenye mitandao ya kijamii pamoja na maeneo mbalimbali kwa fedha za kifisadi huku maeneo mengi ya Tanzania yakiwa hayana hata maji ya uhakika ya kunywa pamoja na miundombinu ya uhakika ya barabara na hospitali.

CCM ni laana kwa Taifa letu.

No Reforms No Election✊️✌️
Shame on Samia, her son Abdul and daughters, sio kwamba wanachangisha tu, bali wanaiba pia pesa zetu.
 
Maendeleo ya Watu ni tofauti sana na Maendeleo ya Watu, Huko Magerezani wamejaa Wafungwa kibao ambao ni Migrants wanaikimbia Ethiopia kumtafuta Green pastures some else,
 
Back
Top Bottom