Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
Bado na reseat
dah pole sana
Bado na reseat
duh, hivi naweza kuwa nachat na vijukuu vyangu.
Mie nilichaguliwa middle school, mzazi wangu alichinja mbuzi. Baada ya kumaliza la 8 nikapangiwa kwenda ualimu.
Hatukuwa na div rank ya la 8.
Hv silabaus yenu ya kibongo division huwa mnahesabuje? Si wengine tumesoma cabrige.
Hv silabaus yenu ya kibongo division huwa mnahesabuje? Si wengine tumesoma cabrige.
hizo div. hazitoshi. ni bora mmgeeleza mko wapi kimaisha,
kkwa maana wapo wa div sifuri lakini kimaisha wanapaa si mchezo 🙂
anzisha uzi wako upewe hayo unayo yataka.
Dah, kongosho...shikamoo, mie two 18 kaengesa seminary rukwa 1998
Hv silabaus yenu ya kibongo division huwa mnahesabuje? Si wengine tumesoma cabrige.
Nakumbuka miaka hiyo bado ilikuwa sio rahisi kuingia Ilboru au mzumbe ukiwa na hizo pts zako(20), we ulipataje mzee?
Nakumbuka ili upate chance kwa PCM au PCB Uwe na atleast ABB mpaka AAA,yani atleast pts 5. Mimi olevel PCM nilikuwa na pts 5 lakini bado nikakosa nikatupwa Minaki.
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !
Dv 4 point 11
div. 1 point 17 ******* SEKONDARI (a.k.a gambian bulls) asaiv chuo SEKUCO