Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,771
- 5,266
Seven points Shaaban Robert, 1987. Kupata division one ilikuwa a really big deal enzi hizo. Which goes to show kwamba, mitihani ya enzi zile ilikuwa migumu zaidi ukilinganisha na hii ya sasa.
Seven points Shaaban Robert, 1987. Kupata division one ilikuwa a really big deal enzi hizo. Which goes to show kwamba, mitihani ya enzi zile ilikuwa migumu zaidi ukilinganisha na hii ya sasa.
Seven points Shaaban Robert, 1987. Kupata division one ilikuwa a really big deal enzi hizo. Which goes to show kwamba, mitihani ya enzi zile ilikuwa migumu zaidi ukilinganisha na hii ya sasa.
1987...duh!
Na wewe '87 ulikuwa darasa la ngapi?
Ahahahahaaa Njabu kweli uligonga wani ya pointi 7 au unatupiga fiksi? Ulisoma na Kinje?
Kinje alikuwa one year behind my grad class SRSS. Mi enzi zangu nilikuwa bundi wa kweli, tena moto wa kuotea mbali...aminia mkuu!
Ila kweli enzi hizo watu walikuwa wanachana sana pepa na ndiyo hicho kilichoipatia sifa shule hadi kupelekea madingi wengi kuamua kuwapeleka hapo watoto wao kuliko kuwapeleka kwenye shule za serikali.
Sanasana ni Wahindi tuu ndiyo waliokuwa wanaongoza. Wanafunzi wazawa wengi kwenye shule ile walikuwa ni watoto wa vigogo. You know the drill...
Oh yeah..kuna wadosi walikuwa noma aisee.
Watoto wa vigogo...Kinje...Saidi Janguo...:lol::lol:
Hv silabaus yenu ya kibongo division huwa mnahesabuje? Si wengine tumesoma cabrige.
hujaona kuna uzi wanakumbushana tuisheni walizokuwa wanakaririshwa hesabu?
Umenikumbusha Ma-warsaw! watoto walikuwa wanahusika sana hawa!Tabora School Advance 1993..na 1.6 full ujeshijeshi afande Chacha master parade,disco kwa Ma-warsaw,tukutuku kuchota maji....Mafinga Seminary '91 na 1.9.....!!!Ibikikititu,mashamba ya Pangot!