Enzi zako ulipata div ngapi ? Sema ukweli

Enzi zako ulipata div ngapi ? Sema ukweli

2003 nilipiga IV ya 34,sikukata tamaa nikarudia Form3,2005 nikamaliza tena alhamdulilah nikagonga IV ya 32 ambayo imeniwezesha kuajiriwa na halmashauri as MGAMBO WA JIJI

dah mkuu kumbe tupo ofisi moja ila mimi nimeajiriwa kama mfagizi wa barabara na leo nilipangiwa toka manzese mpaka kimara mwisho yani sahivi ndo namalizia..
 
dah mkuu kumbe tupo ofisi moja ila mimi nimeajiriwa kama mfagizi wa barabara na leo nilipangiwa toka manzese mpaka kimara mwisho yani sahivi ndo namalizia..

Nashukuru kukutambua ofisi-mate,me bado nipo mtaa wa kongo kuna wamama walikuwa wanauza ubwabwa katika mazingira ya ajabu ndo tupo tunabagein hapa baada ya kushikilia kwa mda wa masaa mawili masufuria yao.vita ni vita murah!
 
Wakuu nasema ukweli...nilipata THREE ya point 15,pale Tosamaganga penalt ya GS. Nikaenda Tabora boys then Udsm kabla ya kuja Mexico kuchukua MSc. in virtual liquid.
 
Wakuu nasema ukweli...nilipata THREE ya point 15,pale Tosamaganga penalt ya GS. Nikaenda Tabora boys then Udsm kabla ya kuja Mexico kuchukua MSc. in virtual liquid.

acha kudanganya o'level kuna Gs?
 
Mimi ndo natarajia kumaliza this year ndio mana sijajitaja, ntakachopata lazima nije kuutangazia umma wa wana jf, hata kama ni ubuyu!

kutwa washinda Jf kwa hakika lazima utage a.k.a ubuyu
 
Wewe SENATOR uongo utaacha lini kwenye post nyingine kule umesema umemaliza 2009 mara huku 2006 so which is which kijana?

umeona ehee jamaa anaonekana alikuwa bingwa wa kureseat ili mashauzi tu labda alipata alama ka za binti Jk.
 
Wakuu nasema ukweli...nilipata THREE ya point 15,pale Tosamaganga penalt ya GS. Nikaenda Tabora boys then Udsm kabla ya kuja Mexico kuchukua MSc. in virtual liquid.

Nahisi unatudanganya, kwa maelezo yk inaonekana T/Maganga umesoma O'level.O'level kuna penati ya Math na sio GS! (Civics) Na A'level ndo kuna penati ya GS na sio Math.Sasa hy 3.15 ya penati uliipataje 4m4 ka ulifail GS (Civics nahisi ulikuwa na maana hy)?!
 
Kumbe hapa ndani wengi wenu ni mayanki
Sisi tuliomaliza miaka ya sabini ngoja tukae kimya , endeleeni kupongezana naona one za point kazaa ndo zinatawala sijui kina nani walikuwa wanapata DIV 3 , 4 AND 0
:A S-coffee:

kina mimi tulipata 3.
 
Mi wakati huo mitihani haikuwepo ulikuwa unasoma ukichoka unaenda kwenye mashamba ya mkonge huko T.P.C.
 
Nahisi unatudanganya, kwa maelezo yk inaonekana T/Maganga umesoma O'level.O'level kuna penati ya Math na sio GS! (Civics) Na A'level ndo kuna penati ya GS na sio Math.Sasa hy 3.15 ya penati uliipataje 4m4 ka ulifail GS (Civics nahisi ulikuwa na maana hy)?!

Penalt ilikua kwa masomo matatu..
Maths
Civics na
Kiswahili
Kuna jirani yangu enzi hizo alipata 1.9 O'level alipigwa Penati ya Kiswahili.
Alimaliza Kibasila 1997 akaenda Mzumbe then MUCHS.
Kama kuna waliosoma nae hapa watakua wameshamjua.
 
Mie pia nimemmiss sana, ila nahisi hanipendi kama zamani manake ameondoka hajaniaga, nikimpigia simu anapokea sekretari wake eti nimwachie maagizo ya Rejao!....


Mwambie SL bado penda yeye sana, akipata huu ujumbe ampigie haraka iwezekanavyo!
Rejao anakupenda sana...tatizo siku hizi yupo busy sana hata anashindwa kuja huku kukusabahi! Akipiga simu yako not reachable! But he is happy upo salama.
 
mmh, jamani Reyjaoh
umeanza lini haya.

Rejao anakupenda sana...tatizo siku hizi yupo busy sana hata anashindwa kuja huku kukusabahi! Akipiga simu yako not reachable! But he is happy upo salama.
 
kuna mtu nahisi amedanganya mwaka aliomaliza na shule aliyosoma...... uchunguzi unaendelea!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom