gozo
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 458
- 86
2003 nilipiga IV ya 34,sikukata tamaa nikarudia Form3,2005 nikamaliza tena alhamdulilah nikagonga IV ya 32 ambayo imeniwezesha kuajiriwa na halmashauri as MGAMBO WA JIJI
dah mkuu kumbe tupo ofisi moja ila mimi nimeajiriwa kama mfagizi wa barabara na leo nilipangiwa toka manzese mpaka kimara mwisho yani sahivi ndo namalizia..