Enzi zako ulipata div ngapi ? Sema ukweli

Enzi zako ulipata div ngapi ? Sema ukweli

mi 1.14 seminari moja tulikua wa 5 kitaifa mwaka we2 na advance Ilboru sec 1.9. . .na nyie mnaojifanya wazee sijui nini tuwe makini na posts oh vipi sijui nawaambia, 'mtoto akiosha mikono hula hata na wafalme' mweye maskio na asikie.
 
Wadau niaje? Poleni sana kwa masikitiko aliyotuletea mwanahasha binti jk, naona wadau wameguswa sana na matokeo ya madogo kwamba hawasomi, hebu tuseme ukweli wa mungu wana jamvi kila mtu enzi zake alipata vipi? Angalizo useme ukweli wako as hakuna kuchekana wala kupongezana humu tumeshazeeka tunachoangalia ni real life,

Tukianza na mkata kiu enzi zangu niliambulia div 2 pts 19 pale feza boys mwaka 2004

Ndo ukaenda Mzumbe ukaanza kukata kiu?
 
Nashukuru kukutambua ofisi-mate,me bado nipo mtaa wa kongo kuna wamama walikuwa wanauza ubwabwa katika mazingira ya ajabu ndo tupo tunabagein hapa baada ya kushikilia kwa mda wa masaa mawili masufuria yao.vita ni vita murah!

sasa hayo masufuria fanya mpango tuje tufanye biashara kwa bei ya jumla jumla,kanyaga twende murah
 
Nilianza sekondari ila sikumaliza...
Labda na mimi ningekua naringia I,II au III.
 
sasa hayo masufuria fanya mpango tuje tufanye biashara kwa bei ya jumla jumla,kanyaga twende murah

Sawasawa murah tumeshabagein cku imeisha,kwenye kaz me huwa ctaki utani kabisa,nikikamata sufuria la ubwabwa napiga kwanza vganja kadhaa nikishiba naumwaga nakusanya sufuria zangu LOL
 
O-leve 1.9, niliweka A kwa masomo yote ya sayansi unayoyajua, kasoro agriculture! A-level 1.6 PCB Uzumbeni. sasa hivi ni daktari wenu wa kutegemewa, nimesitisha mgomo jana! Asanteni.
 
Sawasawa murah tumeshabagein cku imeisha,kwenye kaz me huwa ctaki utani kabisa,nikikamata sufuria la ubwabwa napiga kwanza vganja kadhaa nikishiba naumwaga nakusanya sufuria zangu LOL

yaani wewe umenivutia zaidi,kwani elimu yako inaonekana kufanya kazi kuliko ata waliopata PCM point 3(kumradhi Rejao)
endelea kutia heshima elimu yako uliisotea aisee..
 
Ha ha ha ha umenichekesha kweli kazi ya ulinzi?? Koma kabisa wewe dharau zako pelekea kweni tena unikome kabisa manina zako

ni wewe ua mwingine? Duh hiyo manina zako ulikuwa unamaanisha nini?
 
2003 nilipiga IV ya 34,sikukata tamaa nikarudia Form3,2005 nikamaliza tena alhamdulilah nikagonga IV ya 32 ambayo imeniwezesha kuajiriwa na halmashauri as MGAMBO WA JIJI

Ulipiga IV ya 34????
 
Wadau niaje? Poleni sana kwa masikitiko aliyotuletea mwanahasha binti jk, naona wadau wameguswa sana na matokeo ya madogo kwamba hawasomi, hebu tuseme ukweli wa mungu wana jamvi kila mtu enzi zake alipata vipi? Angalizo useme ukweli wako as hakuna kuchekana wala kupongezana humu tumeshazeeka tunachoangalia ni real life,

Tukianza na mkata kiu enzi zangu niliambulia div 2 pts 19 pale feza boys mwaka 2004

Dah... Feza...na ukapata Div II.... Ulifeli sana!!

Hujisikii noma?

Mi nilikuwa Kantalamba Sec,na nilipata Div II... Ningekuwa hiyo Feza.... Jibu unalo..
 
mie nakumbuka kipindi hiko miaka ya 69 nilipata C ya economics nikaongoza taifa
 
div 3 inaanzia 22 ndugu.

Sinayo hakika kama huyu mtu atarudi (due amendement) ni bora tu arejee ! Mbona sababu ziko bwaaa!
e.g
writin'error !
Overlookin'
missplacen'

Kwenye hizi shule nyingine(zisizo technical schools) si nilikuwa nasikia kuna mambo ya "penalty" yaani mtu hata akipata div two lakini ana "F" ya basic maths alikuwa anapelekwa div three (sina uhakika,sikupita huko).Labda ni hayo yalimkumba huyu ndugu.Mimi nilikuwa tech. school kama ni poor kwenye basic maths unajua kabisa huendi popote maana combination ni moja tu "PCM" enzi zile sijui siku hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom