Enzi zako ulipata div ngapi ? Sema ukweli

Enzi zako ulipata div ngapi ? Sema ukweli

Kumbe nishakuwa mzee sasa
div 3 pts 25 , six 3 pts 10,
shahada gpa ya 3.3
 
olevel-dvn 3 pnt25,Alevel-dvn 1 point 7,chuo(udsm)shahada gpa 2.6,mnaita Pass sijui!nataka kusoma postgraduate diploma2012/13
 
mie nilikimbia form two tu nikasajiliwa Kajumulo/Sigara ..safari ya brazil..kisha Rayon ya Rwanda..hapa no school..hahahaha
 
o-lvl div3 point 21 (2004 benja), a-lvl div 2 points 12(2007benja), university g.p.a 3.5..2010......
 
Ha ha ha ha umenichekesha kweli kazi ya ulinzi?? Koma kabisa wewe dharau zako pelekea kweni tena unikome kabisa manina zako

dada samahani kuna thred huwa unanivutia kwa mchango wako uliojaa uelewa na busara. Nahisi hapa umeteleza tu. Siyo siri nimejisikia vibaya nikikumbuka huyu ni DA niliyemzoea!
 
nilipata one ya 14. sasa hivi ni fundi wa miili ya binadamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom