Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
humu naona 2004,2006,2007 i see! Kweli nyie watoto wa dot.com
Hata mimi nimeshtuka kidogo!
2004 nimemaliza 3yrs chuoni,tena wakati ule chuo hadi mwaka unaofuata.
humu naona 2004,2006,2007 i see! Kweli nyie watoto wa dot.com
div 3 inaanzia 22 ndugu.
Wewe ndiyo mwenzangu ! Ngoma droo , kumbe tuna wajukuu wengi hivi ? Labda kidogo TANMO ndiyo kwa mbaaaaali anatukaribia.
Me nlilamba dv 1.13 pale arusha sec mwaka 2006.
TANMO kitoto, mwakani anaingia form one.
Sinayo hakika kama huyu mtu atarudi (due amendement) ni bora tu arejee ! Mbona sababu ziko bwaaa!
e.g
writin'error !
Overlookin'
missplacen'
Wewe SENATOR uongo utaacha lini kwenye post nyingine kule umesema umemaliza 2009 mara huku 2006 so which is which kijana?
Duh mbona wengi ni wa 2006 to 2009
Maana wengine huku miaka hiyo tushamaliza vyuo tayari
O level 1 ya 9 pale Jitegemee na A level 1 ya 7 pale KANTALAMBA SECONDARY.
d
hujawahi kuwaa studenti wangu kweli wewe??
Duh, ngoja nitafakari ila sitasema jina lako la kweli
Aise uuchune usije ukasema jina hapa
Nitakuombea ban ya milele kwa Paw
Ngoja niwe na urafiki na RR anaweza kunisaidia aise maana naona hapa haki haitatendekahe he he, ninam-date fang na max siku hizi
niko kwenye ban free zone.
Wewe SENATOR uongo utaacha lini kwenye post nyingine kule umesema umemaliza 2009 mara huku 2006 so which is which kijana?
Duh kumbe bado kachalii aise2009 ndo nimeua a level kijana,nimepga pale minaki nkatoka na dv 1.7 mwaka huu ndo namalizia kabachelor kangu ka biashara hapa udsm.
Rejao umeona eehhDuh! Kumbe JF watoto wengi, inabidi tuwe makini na posts zetu!
nlisoma kayumba same sec nkala zero nkaresit nkaenda advance nkala one point 4 nkaenda udsm law nw ni moja ya mawakili watabe mjini hapa