duuu hii kali hahahaBinafsi mwanaume kama mlinzi wa club akuuuuuuuu!
hahaha mbavu zangu nimecheka hadi watu wananishamgaaWatu wanaweza fikiri body guard wako..
hahaha hatari sanaHahahahaaa mbona mmechelewa sana kusema jaman nyie wadada,,,,,yani mmengoja watoto Wa watu wameharibika chaaa wakijua mnapenda afu sa HV ndo mnajifanya hampendi....sio vizuri Dada zangu
daaaWenya machai jaba , usiku huwa tunakoroma kama gari bovu la kwenda Kishimundu.
Hapa noma...njoo pm nikuonesheSema hapa hapa bana ,huenda tukaona wengi ukajichagulia tu umtakayee[emoji3]
Zama chap PM izo sifa zote ninazo toto la kinyamweziBinafsi sipendi six packs hizo,mwanaume awe mrefu,mwenye umbo la wastani,mweusi,nikikutana na wa hivyo huwa nazimia
Mwanamke anavutiwa na mwanamme mwenye PESA
Haya mengine ni porojo tu!
Mwanamme pia anavutiwa zaidi na mwanamke ambaye ana kipato chake
Haya mengine sijui msambwanda ni nyongeza tu
Msambwanda wenyewe hauta noga kama kila siku ni mizinga
Kuna andiko lolote unaweza nukuru hapa kuthibitisha hilo kama mwanamme lzm amhudumie mwanamke?Hivi kuhudumia mwanamke si ni jukumu la mwanaume au?
Utaniua mbavu zangu mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mnavyowahangaisha wanawake kuongeza makalio na matiti wakidhani mnapenda na ninyi hangaikeni hivyo hivyo kuongeza sehemu za siri na vifua mkidhani wanapenda yaani ni mwendo wa kuhangaishana hadi kieleweke si mnataka kuishi ili kufurahisha kila mtu endeleeni[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Na unajiona mzima kabisa kwenye ubongo wako? Hongera.Kuna andiko lolote unaweza nukuru hapa kuthibitisha hilo kama mwanamme lzm amhudumie mwanamke?
Mm mwaka wa 7 sasa mke wangu ndiyo anaihudumia
Mm ni Mario,kazi yangu ni kumpa watoto tu
Tunao wanne na wa tano yupo njiani
[emoji23][emoji23]Utaniua mbavu zangu mimi
Na unajiona mzima kabisa kwenye ubongo wako? Hongera.
Ndiyo kwa sababu ni jukumu lako kutafuta pesa na kuhudumia familia kama ambavyo yeye ni jukumu lake kufanya kazi za ndani na kulea familia sasa kama mkeo anatafuta pesa na kuhudumia familia halafu bado anafanya kazi za ndani na kulea familia wewe hapo unafanya nini?Mwanamke akimtegemea Mwanamme ndiyo anakuwa na akili timamu?
lipo kibaba babaTumbo la kibaba ndio lipoje kwanza
umejuaje?Six pack wengi ni mashoga
Binafsi mwanaume kama mlinzi wa club akuuuuuuuu!