Kikubwa awe na fitness ...siyo nyama uzembeAwe Mkaka tu wa kawaida Kifua kiasi,ila Hayo mamisuli kama anataka kupasuka mmh hapanaa, pia asiwe Mkubwaaa(mbaba)
Kwahiyo kuhusu Diamond unasemaje...?Six pack wengi washamba. Wanajuaga wanapeeendwaa kumbe tunawachora tu
Kwani Diamond ni nani? Tena mimi hakuna mwanaume ninayemuona limbukeni Tanzania hii kama Diamond pamoja na umaarufu wake na hata wanawake wengi wanakuwa hawampendei mapenzi ya kweli wala mwili wake bali pesa zake na umaarufu wakeKwahiyo kuhusu Diamond unasemaje...?
Bora umenisemea [emoji8] ubarikiwe.Kwani Diamond ni nani? Tena mimi hakuna mwanaume ninayemuona limbukeni Tanzania hii kama Diamond pamoja na umaarufu wake na hata wanawake wengi wanakuwa hawampendei mapenzi ya kweli wala mwili wake bali pesa zake na umaarufu wake
Wanawake wengi wameshajua kuwa yule ni malaya kwahiyo wanajipeleka kwake kwa sababu ya kupata pesa na umaarufu tu na hata Diamond naye ameshalijua hilo ndo maana wengi anawapitia tu halafu anawaacha
Haya bana nadhani wenyewe watakuwa wamekusikia,kumbe wanafuata pesa yake,mi nikajua labda jamaa na ma six packs yake ni fundi sana...!Kwani Diamond ni nani? Tena mimi hakuna mwanaume ninayemuona limbukeni Tanzania hii kama Diamond pamoja na umaarufu wake na hata wanawake wengi wanakuwa hawampendei mapenzi ya kweli wala mwili wake bali pesa zake na umaarufu wake
Wanawake wengi wameshajua kuwa yule ni malaya kwahiyo wanajipeleka kwake kwa sababu ya kupata pesa na umaarufu tu na hata Diamond naye ameshalijua hilo ndo maana wengi anawapitia tu halafu anawaacha
[emoji120][emoji120]asanteeeBora umenisemea [emoji8] ubarikiwe.
Sijui kama ni fundi ila hata kama ni fundi sidhani kama wanampendea ufundi wake nimekumbuka kuna siku Diamond Platnumz alipost video clip kwenye instagram yake anakata viuno kwa stage kwenye caption akawa anajisifia kuwa wadada wanapenda viuno vyake katika kupitia comments za watu nikakuta Jacqueline Wolper kamjibu kuwa mwanaume pesa viuno peleka kibaokatani aise lile jibu lilinichekesha hadi leo silisahauHaya bana nadhani wenyewe watakuwa wamekusikia,kumbe wanafuata pesa yake,mi nikajua labda jamaa na ma six packs yake ni fundi sana...!
Hizo tafiti zinafanana na za TWAWEZA Sijui.cute b njoo usome tafiti za kisayansi
Picha ya nani tena?,Picha please