Enyi Wanawake, Hivi hili lina ukweli?

Enyi Wanawake, Hivi hili lina ukweli?

Ndiyo kwa sababu ni jukumu lako kutafuta pesa na kuhudumia familia kama ambavyo yeye ni jukumu lake kufanya kazi za ndani na kulea familia sasa kama mkeo anatafuta pesa na kuhudumia familia halafu bado anafanya kazi za ndani na kulea familia wewe hapo unafanya nini?

Usiniambie eti unazalisha maana hata mwanamke naye anazaa nauliza wewe hapo unafanya jukumu gani? Mwanaume aliambiwa atakula kwa jasho lake ila mwanamke hakuambiwa hivyo yeye aliambiwa atazaa kwa uchungu hivyo basi mwanamke kula kwa jasho lake ni hiyari ila mwanaume kula kwa jasho lako ni lazima usijifanye haujui maandiko
Kila familia ina mipngo yake bana!
Mm wife ndiyo anafanya kazi,mm na drop hawa watatu wakubwa shule na kwenda kuwachukua jioni
Nakaa na huyu mtoto namlea mwanangu
Ijumaa jioni na weekends ndiyo napata muda wa kwenda hata kuangalia mpira na wenzangu!
Mbona wife hajawahi kulalamika mwaka wa 13 sasa na ndoa yetu ina furaha sana?
Hela ya bia weekends nachukua kadi ya wife na wala huwa haniulizi kwa nn umetumia nyingi
 
Kila familia ina mipngo yake bana!
Mm wife ndiyo anafanya kazi,mm na drop hawa watatu wakubwa shule na kwenda kuwachukua jioni
Nakaa na huyu mtoto namlea mwanangu
Ijumaa jioni na weekends ndiyo napata muda wa kwenda hata kuangalia mpira na wenzangu!
Mbona wife hajawahi kulalamika mwaka wa 13 sasa na ndoa yetu ina furaha sana?
Hela ya bia weekends nachukua kadi ya wife na wala huwa haniulizi kwa nn umetumia nyingi
Nimekuuliza kazi za nyumbani kama kupika kufua kuosha vyombo kusafisha nyumba huwa anafanya nani?
 
Nimekuuliza kazi za nyumbani kama kupika kufua kuosha vyombo kusafisha nyumba huwa anafanya nani?
Haahaaaahaaaaa...
Mkuu umemkomalia mdau ila nahisi jamaa itakuwa yeye ndio baba wa nyumbani halafu wife ndio msaka mkate.
Naona ndivyo makubaliano yao kama familia.
 
Ila kweli mwanaume mamisuli kama ng'ombe hapana kwakweli lkn kwa utafiti wangu me najua wanawake wenye maumbo makubwa au wenye makalio makubwa huwapenda wanaume ma giant ila sisi vimbaumbau tunapenda vimbaumbau wenzetu....me binfsi mwanaume awe na kamwili kadogo kama mm tu ndo navutiwa nae ila men ka pipa hell no!!!!
Wewe tunaendana
 
Wababa kwanza pesa ipo pili wanajua kujali,wanabembeleza
Sasa izo 6pack nyingine njaa kutwa mizinga alafu wanajishebedua na izo pack zao
 
Ila kweli mwanaume mamisuli kama ng'ombe hapana kwakweli lkn kwa utafiti wangu me najua wanawake wenye maumbo makubwa au wenye makalio makubwa huwapenda wanaume ma giant ila sisi vimbaumbau tunapenda vimbaumbau wenzetu....me binfsi mwanaume awe na kamwili kadogo kama mm tu ndo navutiwa nae ila men ka pipa hell no!!!!
Mi napenda wembamba kama kijiti
 
Yaani aisee nimeshangaa kweli halafu na yeye eti anajiita mwanaume na anajisifia kabisa
Haahaaaahaaaaa...
Mkuu umemkomalia mdau ila nahisi jamaa itakuwa yeye ndio baba wa nyumbani halafu wife ndio msaka mkate.
Naona ndivyo makubaliano yao kama familia.
 
Nimekuuliza kazi za nyumbani kama kupika kufua kuosha vyombo kusafisha nyumba huwa anafanya nani?
Kuna madada wawili wa kazi!
Lkn weekends wife anapika
Jumamosi na Jumapili nakula mapishi ya wife
Pia nguo zangu na zake anafua wife kila mwisho wa mwezi,hawashiki nguo zetu madada wa kazi
Ndoa yangu ina furaha sana kwa mm kufanya majukumu ya kulea!!
Edelyn weekends hii naomba tukale mishikaki kidogo pale Mliman City,tujuane kidogo!
kama una nafasi lkn
 
Hahaha leo tusio na six packs tunajisikiaje vizuri[emoji3][emoji3]
ha ha ha ha Yani hadi unA enjoy KUSOMA replies....ila ki ukweli Nimevunjika sana moyo kuona kila mdada humu eti hana shobo na six pack anyway acha nimalizie hela yangu ya Gym maana siwezi acha na nshalipia ada ya mwezi mzima.

Sema nimegundua kua JF ina wadada wengi wanaojielewa kuliko wakaka...yani wenye utumbo utumbo na utani wa ajabu ni wanaume na sio wanawake wa JF.

Haya majibu yao humu leo yamenipa Picha za akili za wanawake wa JF hata kama wapo mazumbumbu ila sio kwa level zetu ma MEN.
 
Back
Top Bottom