Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,575
- 126,104
[emoji23][emoji23] nalijua ila nimeamua kumsumbua tu mtoa madaKumbe nawe hulijui[emoji134]
[emoji23][emoji23] nalijua ila nimeamua kumsumbua tu mtoa madaKumbe nawe hulijui[emoji134]
KabisaaaEti wakalime [emoji1787][emoji1787] nimekuelewa wakawe [emoji609][emoji609]
Sasa unataka nimchokoze naniAchaga uchokozi aicee....!
Mi ndo kabisaaaaa! Mwenye mapingili kama sijui mdudu gani hapana kwakweli!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nishakujua weyeeee unapenda kupapasa kitambi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AhsanteAcha uongo
Hapana sipendi kitambi wala mapingili[emoji28][emoji28]
We kumbe mnoko sana rafiki! Unatusigina namna hii na masiksi paki yetu Dah....Kabisaaa
Waende shamba hukooo
Hayo mapaki mnataka kuanzisha mbuga ama?!We kumbe mnoko sana rafiki! Unatusigina namna hii na masiksi paki yetu Dah....
...Sanamu la Michelini, kidizaini...Kubwa lakini halina ile mikato ya 6 packs
Yaani halina tofauti na mtu aliyeshiba sana / vimbiwa.
Ila kweli mwanaume mamisuli kama ng'ombe hapana kwakweli lkn kwa utafiti wangu me najua wanawake wenye maumbo makubwa au wenye makalio makubwa huwapenda wanaume ma giant ila sisi vimbaumbau tunapenda vimbaumbau wenzetu....me binfsi mwanaume awe na kamwili kadogo kama mm tu ndo navutiwa nae ila men ka pipa hell no!!!!
Kumbe siku hizi mnapenda kuwekwa vimada kuolewa hamtaki? Wapi maadaliha ha ha six pack iendane na mshiko;Pack bila mshiko ni ugonjwa...binti mzuri na mrembo anatakiwa atatuliwe changamoto alizo nazo,mfano kama hana gari anunuliwe gari,hana nyumba anunuliwe/ajengewe nyumba n.k
Sema hapa hapa bana ,huenda tukaona wengi ukajichagulia tu umtakayee[emoji3]Kuja ujionee