Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Ila chai jaba. FreshBinafsi mwanaume kama mlinzi wa club akuuuuuuuu!
Ila chai jaba. FreshBinafsi mwanaume kama mlinzi wa club akuuuuuuuu!
Fresh tu.Ila chai jaba. Fresh
Exactly, siyo baunsaa. Vipi una hizo sifa nije pm mkuu, heheeeKikubwa awe na fitness ...siyo nyama uzembe
Wenya machai jaba , usiku huwa tunakoroma kama gari bovu la kwenda Kishimundu.Fresh tu.
Mm najua wanaokoroma wenye miili minene,Wenya machai jaba , usiku huwa tunakoroma kama gari bovu la kwenda Kishimundu.
Basi inategemea ntu na ntu.Mm najua wanaokoroma wenye miili minene,
Ndio nasikia kwako kama wenye chai jaba nao wanakoroma si kawaida
Mmmmmmmh poleBasi inategemea ntu na ntu.
Ukilala na mimi utashangaa ninavyokoroma.
Napoaje wakati hujajaMmmmmmmh pole
Mie sipendi six pack wala maumbo ya kibaba NYEKUNDU YA BIBIjoanah njoo huku useme nawew
asa unapenda nini au unapenda six bombardierMie sipendi six pack wala maumbo ya kibaba NYEKUNDU YA BIBI
Binafsi sipendi six packs hizo,mwanaume awe mrefu,mwenye umbo la wastani,mweusi,nikikutana na wa hivyo huwa nazimia
asa unapenda nini au unapenda six bombardier
Haya bhana waukweniNapenda kawaida tu sio mwili wa vyuma wala huo wa kibaba
ww una akili sanaBinafsi mwanaume kama mlinzi wa club akuuuuuuuu!
Habar ndio hyoTafuta hela.huoni marehemu Mengi
Mi ndo kabisaaaaa! Mwenye mapingili kama sijui mdudu gani hapana kwakweli!!!
Napenda kawaida tu sio mwili wa vyuma wala huo wa kibaba
Kama kina professor jay,sugu,le mutuz..na wengine wa namna hiyoMwili wa ubaba ndo upoje huo mkuu?