SHEVCHENKO
JF-Expert Member
- Mar 9, 2019
- 331
- 453
umeongea point mkuu yani.Wanawake hawajulikanagi wanapenda nn
umeongea point mkuu yani.Wanawake hawajulikanagi wanapenda nn
Usiniambie na ww hupend wakat mi nimeshalipia gym nategemea kutuma picha pm[emoji16][emoji16][emoji16]Awe Mkaka tu wa kawaida Kifua kiasi,ila Hayo mamisuli kama anataka kupasuka mmh hapanaa, pia asiwe Mkubwaaa(mbaba)
ukizimia unakufaa au ndo unapanuaBinafsi sipendi six packs hizo,mwanaume awe mrefu,mwenye umbo la wastani,mweusi,nikikutana na wa hivyo huwa nazimia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mnavyowahangaisha wanawake kuongeza makalio na matiti wakidhani mnapenda na ninyi hangaikeni hivyo hivyo kuongeza sehemu za siri na vifua mkidhani wanapenda yaani ni mwendo wa kuhangaishana hadi kieleweke si mnataka kuishi ili kufurahisha kila mtu endeleeni[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Bado ni mfuasi wa Chelsea?Bado sasa waje na tafiti ya kubeba vyuma na ucho*ko....naona wabena vyuma wengi sana ni chakulaa
Hebu subiri kwanza twende taratibu kwahiyo wewe hapo nyumbani kazi yako ni kulea watoto tu?Kuna madada wawili wa kazi!
Lkn weekends wife anapika
Jumamosi na Jumapili nakula mapishi ya wife
Pia nguo zangu na zake anafua wife kila mwisho wa mwezi,hawashiki nguo zetu madada wa kazi
Ndoa yangu ina furaha sana kwa mm kufanya majukumu ya kulea!!
Edelyn weekends hii naomba tukale mishikaki kidogo pale Mliman City,tujuane kidogo!
kama una nafasi lkn
Duu nimecheka sana "eti ni mwendo wa kuhangaishana tu" visasi sio vizuri aisee.
Khaa hivi kuna jinsia ina visasi kama ya kiume?
Ndio mkuuu....huku odoi kati pulisic kule alikotoka anapiga willian hahahahaBado ni mfuasi wa Chelsea?
Vya kwenu mnaviona vya kawaida kwa sababu mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchunguHahahahaha,hapana bana, ila vya kwenu havina mfano!
Six pack wengi ni mashoga
Haya bana sawa! uwe na siku njema!Vya kwenu mnaviona vya kawaida kwa sababu mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
YaaHebu subiri kwanza twende taratibu kwahiyo wewe hapo nyumbani kazi yako ni kulea watoto tu?
Hahaa, shauri yako na gym yako, utakimbiwa ubaki na mamisuli yako, mwishowe mishipa ipasuke ufeee[emoji3] [emoji3]Usiniambie na ww hupend wakat mi nimeshalipia gym nategemea kutuma picha pm[emoji16][emoji16][emoji16]
Ndyoo, mume anakua Mkubwaa hadi ukiamka asubuhi unashindwa umsalimiaje ,morning babe ama shikamoo baba mkubwa[emoji3] [emoji3]eti asiwe mkubwaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]