Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,414
Hahahaa, mpaka sasa kimya,kasie atakuwa anageuzwa staili gani saiz,maweee....
Hahahahaha...
Hahahaa, mpaka sasa kimya,kasie atakuwa anageuzwa staili gani saiz,maweee....
Nimerudia tena kusoma na nimefurahishwa na uandikaji wako [@Kasinde] wa Kiswahili bila kuchanganya sana na Kiingereza.
Hapo kwenye 'breakfast' na 'lunch' ungetumia 'staftahi' na 'chakula cha mchana' basi ningekupa 98% kati ya 100% ambayo ni A+.
Kuna raha sana unapopata pongezi za dhati na kweli kutoka kwa umpendae. ..... ila kama ulikuwepo akilini mwangu, nilisema uzi huu sitaki kuongea kwa kiinglish na yale maneno niliyokosa kiswahili chake niliyawekea italic. Hayo maneno lunch na breakfast nilijisahau. Asante sana kwa pongezi mahabuba na kugundua nilichokuwa nimekimaanisha.🙂🙂🙂
Asante sweet pie wangu aka mahalat aka monkey pie😛😛😛
Sisi ndo watu wako wa karibu? teh teh
Baadae kidogoo ntaweka kilakitu wazi
Kempiski kwa zaidi ya miaka miwili inaitwa Hyatt Regency
Hivi Tanzania wana askari Jeddah SA....?
Ndugu yangu na komredi wangu James,
Unakuja mjini hata hunistui?
Kweli Kasie kakukamata.....
Doho tabu!!
Afu na bestman wa James niko tayari kusimamia show ya ndoa.
Isizidi October mwaka huu tafazali...
Hakuna mwanajeshi mtanzania wa jina la James anaweza kuwa jeshini Jeddah, Saudi Arabia. Labda awe na uraia wa USA na au awe ni mercenary.
Au sana sana kama yupo Jeddah ni korokoni wa shopping mall kwa kupitia njia za Mtemvu.
Changa la macho.
Honey Faith niazime miwani ya babu tafadhali
Fanya fasta basi Kasie tangu jana twasubiri ujueBaadae kidogoo ntaweka kilakitu wazi
Babu mwenyewe kimeo huyu