Email from James - Jeddah

Email from James - Jeddah

Hahahahaa kuolewa na mtu aliyeachana na mkewe kuna raha zake na karaha zake, hasa mke japo kaachika najua atanisumbua tuu maana James ni mcharoooo nahisi atakuwa anatamani kurudiana na James ila ndo hivoo .........
Halafu kwani babu wewe ulishasomea utabiri? Au James alikunong'oneza alichoniambia kuhusu oktoba? Mmmh umejuaje hii habari ya oktoba?
Ushasahau mi ni kajukuu ka mtume? Hukumbuki nilikuambia ningekufumania kwenye masantula???

Endelea kusubiria ziara zangu za kustukiza....
 
Hahahahaaa sasa wewe babu nawe unataka kumwaga mchele upenuni na kuku ndo hao wanadonoa donoa hehehehe
Kwani hujui kesho kuna tukio gani? Na haswa Daslam hiyo siku ya kesho inaadhimishwa mno kwa gharama kubwa kuwaweka wapendanao karibu........
Naibia siri..... sogea nikunong'oneze wengine wasisiskie. ..... James kaja mahsusi ili anipe mshangazo siku ya kesho hapa nilipo nimejiloweka kwenye jacuzzi kusubiria hiyo kesho 😛😛
Tena usiongee kwanguvu Magu akatoa tamko kuwa kesho atakayeonekana anaadhimisha siku hiyo anaswekwa ndani nikakosa mshangao kutoka kwa James.
Kwa taarifa yako, sherehe za Valentino zimefutwa.

Pole sana kitumbua cha Kasie.....😀😀😵
 
Ah wapi!

Nshazoea.

Kuna wengine wanaamini mimi naitwa Richard Mugizi na 'ushahidi' wanao.

Wapo wanaoamini mimi ni nina miaka 59, 62, 69, na kadhalika, na 'ushahidi' wanao.

Wengine wanaamini mimi namiliki 'ma apartments' huko Msasani, Masaki, na Mtwara huko kwa Dangote' na ushahidi wanao.

Hivyo kusema ukweli nshazoea.

Ngoja tu nitulie nione kitachojiri ingawa nina wasiwasi tayari nimesha ki-preempt.....
Skendo zote hizi, hii ni dalili una nyota ya siasa. Fanya mpango ugombee ubunge.
 
Fanya fasta basi Kasie tangu jana twasubiri ujue

Hahahahaaa ngoja ngoja yaumiza matumbo eeh
Japo naingia humu naandika haya niko na James hapa tutaongea mengi tuu mrejesho ni mrefu. Na anasoma kila nnachoandika hapa. Amesema anataka kuleta mrejesho yeye mwenyewe hivo vumilieni tuu. Mie mbona sio mchoyo wa habari atawasimulieni kila kitu. Tutarejea baadae naona maongezi yakanoga na maandalizi na mipango ya kesho. .... hata napata wasiwasi kama jumatatu ntaweza kwenda kazini.
 
Hahahahaaa ngoja ngoja yaumiza matumbo eeh
Japo naingia humu naandika haya niko na James hapa tutaongea mengi tuu mrejesho ni mrefu. Na anasoma kila nnachoandika hapa. Amesema anataka kuleta mrejesho yeye mwenyewe hivo vumilieni tuu. Mie mbona sio mchoyo wa habari atawasimulieni kila kitu. Tutarejea baadae naona maongezi yakanoga na maandalizi na mipango ya kesho. .... hata napata wasiwasi kama jumatatu ntaweza kwenda kazini.
Kumbe James anajua ki-Nyerere??
 
Kwa taarifa yako, sherehe za Valentino zimefutwa.

Pole sana kitumbua cha Kasie.....😀😀😵

Hahahahahaa babu ukorofi huo sasa.... tangazo likiwa rasmi tutaondoka na ndege ya jioni kuelekea nairobi au south afrika ambako hakuhitaji visa huko maadhimisho yataendelea bila kuingiliwa au kusitishwa na Magu.
James ana nia hadi ananiogopesha.
Hivi ndo alivosema James baada ya kusoma message yako.
 
Kumbe James anajua ki-Nyerere??

Msukuma huyu anajua lugha kama 4 hivi kisukuma na kiswahili kikiwemo achilia mbali kilugha cha kijeshi. Alinikosha zaidi aliponisalimia kwa kinyamwezi, ni mtundu hadi raha.
 
Hahahahaaa ngoja ngoja yaumiza matumbo eeh
Japo naingia humu naandika haya niko na James hapa tutaongea mengi tuu mrejesho ni mrefu. Na anasoma kila nnachoandika hapa. Amesema anataka kuleta mrejesho yeye mwenyewe hivo vumilieni tuu. Mie mbona sio mchoyo wa habari atawasimulieni kila kitu. Tutarejea baadae naona maongezi yakanoga na maandalizi na mipango ya kesho. .... hata napata wasiwasi kama jumatatu ntaweza kwenda kazini.
Ha haaa can't wait kwakweli.... Huo mrejesho ataweka kwa I'd hii yako ama
 
Msukuma huyu anajua lugha kama 4 hivi kisukuma na kiswahili kikiwemo achilia mbali kilugha cha kijeshi. Alinikosha zaidi aliponisalimia kwa kinyamwezi, ni mtundu hadi raha.
Khaa... Nahisi kadalili ka wivu kameanza kuninyemelea. Hivi yule mdogo wako ulishampa salamu zangu?
 
Da Kasie !! Wee mrudishe baba watoto wangu Mjr.Gen. James !!
nyie watanazania mnatuibie waume zetu. La sivyo ntakufungia safari hadi Kwenu Tanzania....
 
Hakuna mwanajeshi Mtanzania wa jina la James anaweza kuwa jeshini Jeddah, Saudi Arabia. Labda awe na uraia wa USA na awe jeshi la USA lililopo Saudi Arabia tenaa jeshi la USA halipo Jeddah au awe ni mercenary, na mercenary hata siku moja hawezi kujijulisha kuwa yeye ni jeshi.

Au sana sana kama yupo Jeddah ni korokoni wa shopping mall kwa kupitia njia za Abbas Mtemvu.

Changa la macho.
Haya mambo yetu sie vijana tunayaelewa we bibi keti kibarazani subiria shikamoo kutoka kwa wajukuu zako.....utaibika buree
 
Kasie mbona kimya jamani??? Tupe mrejesho mgegedo ulikuwa poa?
 
Ha haaa can't wait kwakweli.... Huo mrejesho ataweka kwa I'd hii yako ama

Hahahahaa tunaingia machakani hapa hapa Kempisk kupata chakula cha mchana sasa, we subiri tuu kaniambia atakuja kwa njia ya mshangao na watu wengi watashangazwa na kuachwa midomo wazi. Amesema ataitumia njia zote ID yangu, yake mwenyewe na ya hommie ......
 
Khaa... Nahisi kadalili ka wivu kameanza kuninyemelea. Hivi yule mdogo wako ulishampa salamu zangu?

Hahahahahaaa babuu hujasahau looh

Nilimwambia sema nae anamaringo Kasie anaafadhali. Ntakupatia namba zake useme nae.
 
Back
Top Bottom