BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,809
- 5,779
Hongera kwa kugongewa kempisk wako wanawake wenzako wengi wanandoto hyo" bila shaka sahv unakojozwa tu
Noma sanaWasukuma hawana shida bana wanacare balaa kua amani
Looh huku ni kumfanya Monkey pie wangu apate wivu jamani mbona wachokozi hivo? Unataka pumpkin soup wangu Nyani anikimbie na kuniacha? Ila wananichanganya maana mzani pande zote uko sawa sawaImfikie Nyani Ngabu hii!
Unaona sasa ulichokianzisha we Kasinde?
Kwingine kote umepatia ila hapo kwenye 'hint' tu ndo umekosea.
Ilikuwa lazima utaje kabila lake?
Damn you Kasie.
Ah wapi!
Nshazoea.
Kuna wengine wanaamini mimi naitwa Richard Mugizi na 'ushahidi' wanao.
Wapo wanaoamini mimi ni nina miaka 59, 62, 69, na kadhalika, na 'ushahidi' wanao.
Wengine wanaamini mimi namiliki 'ma apartments' huko Msasani, Masaki, na Mtwara huko kwa Dangote' na ushahidi wanao.
Hivyo kusema ukweli nshazoea.
Ngoja tu nitulie nione kitachojiri ingawa nina wasiwasi tayari nimesha ki-preempt.....
Ndugu yangu na komredi wangu James,Hahaaaa we Kasie utafanya watu waanze kuhisi mimi ndo James- Jeddah.
Shauri yako.
Afu na bestman wa James niko tayari kusimamia show ya ndoa.Hahahahaa ndo maana nakupenda na sitoacha kukupenda. ......hata iweje...🙂🙂🙂
Ndugu yangu na komredi wangu James,
Unakuja mjini hata hunistui?
Kweli Kasie kakukamata.....
Doho tabu!!
Honey Faith niazime miwani ya babu tafadhaliHahahahaa ndo maana nakupenda na sitoacha kukupenda. ......hata iweje...🙂🙂🙂
Huyu Mjeda James.... anapaswa kufanyiwa kitu.Hahahaaa Komredi ndo nini hivo bana....
Leo ni siku ya James Jeddah bana.
Usije ukamharibia bure siku yake maana kapata zali la mentali.
Hakuna mwanajeshi mtanzania wa jina la James anaweza kuwa jeshini Jeddah, Saudi Arabia. Labda awe na uraia wa USA na au awe ni mercenary.
Changa la macho.