Email from James - Jeddah

Email from James - Jeddah

Kasinde Huyo kaaga yupo jangwani kikazi...

Hahahahahaa mwenzio kafa kaoza kwa Kasie kasema atarudi kazini jumanne ila huku dar atakuja tena baada ya pasaka hapo ndo kaniambia hatonipa hata sekunde ya kupumua hadi kibibi bin ajuza mie nimzalie mtoto khaaa.
Mwenzio anataka mtoto jilengeshe mie na kulea mbali mbali...
 
Kasie mbona kimya jamani??? Tupe mrejesho mgegedo ulikuwa poa?

Hahahaaa James kaniambia nisubiri kwanza. Niko ok sikupata shida yoyote tumeamka salama.
Wacha tupate mlo wa mchana sasa baadae.
 
Hahahahahaa mwenzio kafa kaoza kwa Kasie kasema atarudi kazini jumanne ila huku dar atakuja tena baada ya pasaka hapo ndo kaniambia hatonipa hata sekunde ya kupumua hadi kibibi bin ajuza mie nimzalie mtoto khaaa.
Mwenzio anataka mtoto jilengeshe mie na kulea mbali mbali...
Ha haa we mzalie tu bana,ntakusaidia kunywa mtori
 
Hahahaaa James kaniambia nisubiri kwanza. Niko ok sikupata shida yoyote tumeamka salama.
Wacha tupate mlo wa mchana sasa baadae.
Acha uongo, yaani ulale hivi hivi tu umekuwa dadake?
 
Hahahahahaa mwenzio kafa kaoza kwa Kasie kasema atarudi kazini jumanne ila huku dar atakuja tena baada ya pasaka hapo ndo kaniambia hatonipa hata sekunde ya kupumua hadi kibibi bin ajuza mie nimzalie mtoto khaaa.
Mwenzio anataka mtoto jilengeshe mie na kulea mbali mbali...
Atanitambua namgoja atakiona cha mtema kuni!!! hiyo ya easter holidays nashukuru kuninabaisha mapema nachinja huko kbla ya kusafiri!! akija mtafafana !!
 
Weekend wenyewe bado mbichi!sijui kuku tayari kachinjwa!miongoni mwa mirejesho inayosubiriwa kwanza hamu ni pamoja na huu.
 
Ha haa we mzalie tu bana,ntakusaidia kunywa mtori

Weeh sidanganyiki ng'oo japo nami nampenda kikweli kweli ila kuzaa ni shuhuli pevu kwa ninavyowaona wadada na wamama wanavosimulia wakitoka leba wodi.
Napenda mtoto akileta wake ntalea ila kuzaa laah aniimbie kwanza wimbo wa embe dodo huku akinipigia zeze ili anishawishi kuzaa. ......

Ntaufanyia kazi ushauri wako thanks.
 
Atanitambua namgoja atakiona cha mtema kuni!!! hiyo ya easter holidays nashukuru kuninabaisha mapema nachinja huko kbla ya kusafiri!! akija mtafafana !!

Hahahahahaa mwanaume hakomolewi....... sema nae la utamkosa mazima. ....mpe nyama ya ulimi.
 
Weeh sidanganyiki ng'oo japo nami nampenda kikweli kweli ila kuzaa ni shuhuli pevu kwa ninavyowaona wadada na wamama wanavosimulia wakitoka leba wodi.
Napenda mtoto akileta wake ntalea ila kuzaa laah aniimbie kwanza wimbo wa embe dodo huku akinipigia zeze ili anishawishi kuzaa. ......

Ntaufanyia kazi ushauri wako thanks.
Akileta wake utamleta wako kutoka wapi? Au ndio utamzalia mwaego?
 
Acha uongo, yaani ulale hivi hivi tu umekuwa dadake?

Hahahahahaaaa
Tulikuwa na wakati mzuri sana leo kwa kweli namshukuru maulana kwa mie kufaha maana na James hata tukajuana. Nikisema tumejuana na James unaelewa. ..??!
James alivo mcharo Sidhani kama kuna dada atajivunga kuwa nae, nashangaa tuu kavutiwa nini na mie ajuza bin kibibi ......
 
Akileta wake utamleta wako kutoka wapi? Au ndio utamzalia mwaego?

Mie sina mtoto, akileta watoto wake ntawalea kama wangu na akiniimbia kwa zeze na gitaa wallah ntamzalia pacha wa kike na kiume kwa raha zake. Natumai atajisikia mwanaume mwenye furaha na amani baada ya kuzaa na Kasie.
 
Hahahahahaaaa
Tulikuwa na wakati mzuri sana leo kwa kweli namshukuru maulana kwa mie kufaha maana na James hata tukajuana. Nikisema tumejuana na James unaelewa. ..??!
James alivo mcharo Sidhani kama kuna dada atajivunga kuwa nae, nashangaa tuu kavutiwa nini na mie ajuza bin kibibi ......
Duuuuuuuh! hongera, natumai hakucheza chini ya kiwango lakini, nyie vibibi ndio wazuri maana hata experience yenu ipo juu.
 
Mie sina mtoto, akileta watoto wake ntawalea kama wangu na akiniimbia kwa zeze na gitaa wallah ntamzalia pacha wa kike na kiume kwa raha zake. Natumai atajisikia mwanaume mwenye furaha na amani baada ya kuzaa na Kasie.
Ooh hope atakuimbia kwa zeze mana kwako kashakufa na kuoza bado tu kuzikwa
 
Duuuuuuuh! hongera, natumai hakucheza chini ya kiwango lakini, nyie vibibi ndio wazuri maana hata experience yenu ipo juu.

Unawajua wasukuma unawasikia. .... kufanya kazi Jeddah haimaanishi naye ni mdebwedo kama wala urojo laah. Yuko fun and fit hadi naomba poo
 
Unawajua wasukuma unawasikia. .... kufanya kazi Jeddah haimaanishi naye ni mdebwedo kama wala urojo laah. Yuko fun and fit hadi naomba poo
Basi jamaa kafaido ile mbaya, kila la heri basi yule mpenzi wako ajihesabie maumivu tu sasa.
 
Breakfast... Lunch mbona ka Tatar ushagegedwa mwanajeshi akuache Mara zote mbili
 
Back
Top Bottom