- Nov 14, 2010
- 2,114
- 1,384
Ohooo!Paw hapo umemsalimia nani sasa?
Au umemsalimia mtu niliyemsweka kwenye 'ignore list' yangu ndo maana sioni uliyemnukuu [kama umemnukuu mtu]?
Nilikuquote ila nilikuwa na speed kuliko uwezo wa device.
Ohooo!Paw hapo umemsalimia nani sasa?
Au umemsalimia mtu niliyemsweka kwenye 'ignore list' yangu ndo maana sioni uliyemnukuu [kama umemnukuu mtu]?
Bado mapema sana, sasahivi anaendelea kula ulabuHahahaa, mpaka sasa kimya,kasie atakuwa anageuzwa staili gani saiz,maweee....
Bavaje! sana mayoo!!!!Wasukuma hawana shida bana wanacare balaa kua amani
Hakika unaitendea haki professional yako, customer care 100%. Muhudu safi sana wewe, kwa kuwa huyo james ni kati ya wateja wako usijali hakuna baya hapo maana utakua una uzoefu wa kutosha tu so hatokusumbuaHabari za mwisho wa wiki mabibi na mabwana wa MMU,
Leo nawasimulia kisa kilichonitokea kuanzia wiki iliyopita………….
Jumanne iliyopita ya tarehe 2/02.2016 saa nne asubuhi, Kasie nilipokea barua pepe kutoka kwa mwanajeshi aliyejitambulisha kwa jina la James kuwa yeye ni mtanzania anayeishi Jeddah (sijajua vizuri Jeddah ni nchi ya kiarabu au laah hata sikujisumbua kuitafuta kwenye mtandao (gugo).
Alikuwa ananiuliza habari za kikazi maana mie asili ya kazi ninazofanya ni kuhudumia wateja, baada ya kumalizana na kumhudumia kwa njia ya barua pepe nikajua vimeishia pale maana huwa nahudumia wateja wengi. Kwenye barua pepe yangu nimeweka saini ya jina langu, anuani, na namba ya simu ya mkononi na ya mezani ya ofisini. James kumbe akaihifadhi namba ya ngu ya simu ya mkononi na kuanza kuniangalia kupitia mtandao wa whattsapp. Kumbuka shida yake iliisha siku ile ile jumanne ya tarehe 2 kwasababu alijibu name nikajibu hadi tulipoelewana na kuridhika kuwa shida yake imeisha.
Alhamisi jioni nikapokea simu iliwa haina namba wala jina na hata ile application ya caller identity haikufanya kazi kuniletea jina kuwa huyu ni flani. Nilipokea simu ile na sauti ilikuwa uuuuuh maashaalaaaah!!!!
Mazungumzo yakaanza na alijitambulisha kwangu na moja kwa moja akasema shida yake anaomba urafiki na mimi. Nikamjibu nina mpenzi wangu akasema sihitaji kuwa mpenzi wako naomba urafiki na wewe. Nikaguna akasema najua hunielewi ila naomba uniruhusu niwe rafki yako na hutojutia.
Kwakuwa sikuwa na mpango nae nikamwambia sawa ili niachane nae, ijumaa asubuhi ya tarehe 5.02.2016 akaanza mawasiliano ya whattsapp mmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhh, ………………………………. Hadi sasa hivi nilichokigundua ni kuwa kuna vitu sio vya kujaribu maana ukiingia huwezi kutoka hata uwe mgumu vipii.
Hapa nilipo leo nimetoka kupata breakfast na James Kempisk na Lunch pia tulipata hapo hapo Kempisk Hotel zamani Kilimanjaro Hotel. James amekuja jana na amefikia hotel hiyo yaani mtihani nilionao ni weekend hii ntapona kweli…………………………..
James ni mwanajeshi yuko Jeddah kikazi na anaishi huko, alioa na akaachana na mkewe na wana watoto 2 ambao wanaishi na mama yao. Sijelewi hadi dakika hii kuwa itakuwa ni CRUSH kama crush nyingine zilizopita, one night stand au ndo nimetumbukia tundu bovu……………………..
Hapa ndo najiandaa kutoka kazini maana kasema dinner pia kwake hapo hapo Kempisk ila nikamwambia ntarudi kulala kwangu lakini hata sijui kitakuweje.
Nawapenda sana MMU hata sielewi elewi naogopa hata kunywa wine………
HINT: James ni msukuma…………..
Ntawataarifu kilichojiri mkiona kimya mjue nimekuwa terrorized au nimenyoywa damu na mumiani James. Ikitokea sitatokea tena hapa jukwaani mjue kuwa nawapenda sana na laah sina la kusema. Sina mume, wala mtoto wala shosti wa kunisindikiza ila nyie ndo watu wangu wa karubu nimeona niwaelezee ili mkisikia loote muwe na pa kuanzia.
Nawapenda mnooo wana MMU,
Kasie.
Jeddah ni Saudi ArabiaHabari za mwisho wa wiki mabibi na mabwana wa MMU,
Leo nawasimulia kisa kilichonitokea kuanzia wiki iliyopita………….
Jumanne iliyopita ya tarehe 2/02.2016 saa nne asubuhi, Kasie nilipokea barua pepe kutoka kwa mwanajeshi aliyejitambulisha kwa jina la James kuwa yeye ni mtanzania anayeishi Jeddah (sijajua vizuri Jeddah ni nchi ya kiarabu au laah hata sikujisumbua kuitafuta kwenye mtandao (gugo).
Alikuwa ananiuliza habari za kikazi maana mie asili ya kazi ninazofanya ni kuhudumia wateja, baada ya kumalizana na kumhudumia kwa njia ya barua pepe nikajua vimeishia pale maana huwa nahudumia wateja wengi. Kwenye barua pepe yangu nimeweka saini ya jina langu, anuani, na namba ya simu ya mkononi na ya mezani ya ofisini. James kumbe akaihifadhi namba ya ngu ya simu ya mkononi na kuanza kuniangalia kupitia mtandao wa whattsapp. Kumbuka shida yake iliisha siku ile ile jumanne ya tarehe 2 kwasababu alijibu name nikajibu hadi tulipoelewana na kuridhika kuwa shida yake imeisha.
Alhamisi jioni nikapokea simu iliwa haina namba wala jina na hata ile application ya caller identity haikufanya kazi kuniletea jina kuwa huyu ni flani. Nilipokea simu ile na sauti ilikuwa uuuuuh maashaalaaaah!!!!
Mazungumzo yakaanza na alijitambulisha kwangu na moja kwa moja akasema shida yake anaomba urafiki na mimi. Nikamjibu nina mpenzi wangu akasema sihitaji kuwa mpenzi wako naomba urafiki na wewe. Nikaguna akasema najua hunielewi ila naomba uniruhusu niwe rafki yako na hutojutia.
Kwakuwa sikuwa na mpango nae nikamwambia sawa ili niachane nae, ijumaa asubuhi ya tarehe 5.02.2016 akaanza mawasiliano ya whattsapp mmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhh, ………………………………. Hadi sasa hivi nilichokigundua ni kuwa kuna vitu sio vya kujaribu maana ukiingia huwezi kutoka hata uwe mgumu vipii.
Hapa nilipo leo nimetoka kupata breakfast na James Kempisk na Lunch pia tulipata hapo hapo Kempisk Hotel zamani Kilimanjaro Hotel. James amekuja jana na amefikia hotel hiyo yaani mtihani nilionao ni weekend hii ntapona kweli…………………………..
James ni mwanajeshi yuko Jeddah kikazi na anaishi huko, alioa na akaachana na mkewe na wana watoto 2 ambao wanaishi na mama yao. Sijelewi hadi dakika hii kuwa itakuwa ni CRUSH kama crush nyingine zilizopita, one night stand au ndo nimetumbukia tundu bovu……………………..
Hapa ndo najiandaa kutoka kazini maana kasema dinner pia kwake hapo hapo Kempisk ila nikamwambia ntarudi kulala kwangu lakini hata sijui kitakuweje.
Nawapenda sana MMU hata sielewi elewi naogopa hata kunywa wine………
HINT: James ni msukuma…………..
Ntawataarifu kilichojiri mkiona kimya mjue nimekuwa terrorized au nimenyoywa damu na mumiani James. Ikitokea sitatokea tena hapa jukwaani mjue kuwa nawapenda sana na laah sina la kusema. Sina mume, wala mtoto wala shosti wa kunisindikiza ila nyie ndo watu wangu wa karubu nimeona niwaelezee ili mkisikia loote muwe na pa kuanzia.
Nawapenda mnooo wana MMU,
Kasie.
Kohooo.... Ukitaja wasukuma mtima unasisimkaWasukuma hawana shida bana wanacare balaa kua amani
Na wasaudia wana tabia mbaya ya kupenda kamchezo ka kuruka ukingo...wanaume wengi wa kitanzania wanaoishi huko wameathirika na hako kamchezoJeddah ni Saudi Arabia
Pumbafuu si ulisema una mpenzi wako!
Si umesema jamaa kaomba urafiki tu?
Sasa ya nini kila saa unaenda kula kwa watu?!
Unapenda sana kuwahudumia wateja wewe..
Hahahahaha kasie anapigwa chakoni za kutosha na freepump nyingiiiiStarring kauwawa
Watu tuna hamu na mrejesho wa huyu kasuku wetu ahahahahahahLeo ndege mjanja kwenye tundu bovu
Ndugu zako tunakungoja