Elon Musk alaani utawala wa Trump kwa kutengeneza bajeti mbaya ya nchi kihistoria, aapa kuwanyoosha wabunge wote walioipitisha

Elon Musk alaani utawala wa Trump kwa kutengeneza bajeti mbaya ya nchi kihistoria, aapa kuwanyoosha wabunge wote walioipitisha

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,302
Elon Musk anasema bajeti ya serikali ya Trump maarufu kama "Big Beatiful Bill" iliyopitishwa na bunge linaloongozwa na Republicans ni ya hovyo kuwahi kutokwa na itavunja rekodi kuongeza deni la Marekani kwa $Trilioni 5 zaidi. Aanasema nchi hiyo ni kama inaongozwa na chama kimoja cha nguruwe na ni wakati sasa wa kuja chama kingine cha tatu mbadala! Zaidi ameapa kushughulika na wabunge wote waliopitisha bajeti hii kwenye uchaguzi ujao.
Screenshot_20250630_231726_X.jpg
 
Elon Musk anasema bajeti ya serikali ya Trump maarufu kama "Big Beatiful Bill" iliyopitishwa na bunge linaloongozwa na Republicans ni ya hovyo kuwahi kutokwa na itavunja rekodi kuongeza deni la Marekani kwa $Trilioni 5 zaidi. Aanasema nchi hiyo ni kama inaongozwa na chama kimoja cha nguruwe na ni wakati sasa wa kuja chama kingine cha tatu mbadala! Zaidi ameapa kushughulika na wabunge wote waliopitisha bajeti hii kwenye uchaguzi ujao.
View attachment 3389616
Nadhan anavuna alichopanda.

Alikuwa anafurah South Africa ikishughulikiwa tena anaombea kabisa Malema ashughulikiwe.

Sasa anapata alichoombea wengine.
 
😂😂

Huyo kanyimwa deals za biashara zake na kuongezewa ushuru so analia Lia tu , So alisahau kuwa Trump ni mfanya biashara pia na yuko pale for his own benefits pamoja na ma oligarchy wenzake
 
Huyu na jamaa ni fisi ile mbaya,kiti kile anakitaka sita shangaa,miaka ya mbele kumuona akiwania urais marekani.
 
Elon ameanza kuvuna dhambi zake alizofanya .
Tajiri alafu anaongoza Kwa roho mbaya
 
Back
Top Bottom