Kama mada inavyojieleza kipindi hiki cha alfajiri na mapema nakutana na watoto wadogo kwenye usafiri wa umma.. wakiwahi shuleni.
Je, Ndio sera mpya ya elimu?!
Wanataka wapate A ili sijui waendelee wapi na wawe wakina nani na KWA nchi ipi. Hiki ni kipindi cha watoto kufanya kazi za mikono na kuibua vipaji vyao ambavyo vitawalipa kipindi Elimu ya Chuo isipolipa kama Sasa.
Wanataka wapate A ili sijui waendelee wapi na wawe wakina nani na KWA nchi ipi. Hiki ni kipindi cha watoto kufanya kazi za mikono na kuibua vipaji vyao ambavyo vitawalipa kipindi Elimu ya Chuo isipolipa kama Sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.