elimu ya tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    KERO Headmaster shule ya Sekondari Maji ya Chai-Arumeru hafiki kazini. Walimu wengine nao hawafundishi

    Shule ya sekondari Maji ya Chai iko Halmashauri ya wilaya ya Meru, wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha. Tusilaumu hizi shule, mazingira wala wanafunzi, mchawi mkubwa ni walimu na viongozi wao. Shule hizi zimetelekezwa, walimu wanafanya shughuli zao binafsi, wengine wana vipindi shule binafsi. Hii...
  2. Eli Cohen

    Pamoja na maigizo ys jana kule Tanga bado siwezi mtoa mtoto English Medium eti nipeleke Kayumba

    Hata mlete watoto 1000 kutoka bonyokwa wanaopiga ung'eng'e kama wa Scotland, siwezi mtoa mtoto English Elementary eti nipeleke Kayumba Hao wenyewe waliomuandaa afike pale apige kiingereza mbele ya hadhara jana, watoto wao wapo elementary 😂😂😂 Moderator mbona mnaweka heading ambayo mimi...
  3. Live circuit

    Naomba kufahamu machache kuhusu hii kozi ya ufundi zana za kilimo na mitambo

    Habari Wana jamvi, tunashukuru Mungu kwa kuamka salama na kwa wale wenye changamoto mbalimbali tunawaombea kwa Mungu awape wepesi kuvuka kipind hiko kigumu, Back to my topic. Kuna nafasi 8000 zimetoka kwa ajir ya masomo ya ufundi kama hujaziona waweza tembelea www.kazi.go.tz Nina mdogo Wangu...
  4. W

    DOKEZO Form 4 wengi wanataka kusomea diploma ila vyuo ni vichache, kuna kila dalili za rushwa kuombea watoto nafasi za udahili vyuoni

    Wazazi wamestuka, Vijana wametuka, zama zimebadilika, Kwa upepo ulivyo Advance inaenda kupoteza thamani yake, yaweza kugeuka kuwa kapu la taka kwa wanafunzi wanaokosa vyuo. watu wamepima mzani wa kwenda advance na kwenda chuoni kwa mazingira ya Tanzania ya sasa wamena kwenda advance kuna...
  5. chizcom

    Ufaulu wa elimu ya Tanzania unanipa mashaka sana kila kukicha

    Napata wasi wasi na elimu hii ya tanzania kila kukicha ikichezewa na wizara ya elimu. Miaka ya nyuma ilikuwa ni kazi sana kuona kundi kubwa la ufaulu ukilinganisha na leo. Kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari. Sababu ambazo zinanipa mashaka ni kwamba watoto wanamatokeo mazuri ila hawajui...
  6. Davidmmarista

    NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!

    Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi Novemba 29, 2024. Matokeo hayo yametolewa rasmi leo, Alhamisi, Januari 23, 2025, na Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Said Mohammed. Wanafunzi pamoja na wazazi...
  7. SIPENDI SIASA

    Uliwezaje kuishi na wababa au wamama waliotokea kazini kuja kujiendeleza kimasomo chuo?

    (1) Kuna rafiki yangu yeye aliambukizwa "ngoma" na mmama (cashier wa bank fulani) aliyekuja kujiendeleza. Jamaa sasa hivi ni mwendi wa ARVs. Sad indeed. (2) Kuna sister mmoja agemate yeye alisaidiwa connection mwaka 2012 akaingia Polisi. (3) Kuna braza mmoja alitokea NMB yeye alikuja...
  8. sinza pazuri

    Ni jambo la kufurahisha Diamond Platnumz kuingizwa kwenye mtaala wa elimu ya Tanzania. Bado kupewa PhD ya heshima sasa

    Hatimaye wizara ya elimu imeona umuhimu wa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz. Diamond na wasanii wengine wachache wa mfano kwa sasa wanasomwa na wanafunzi wetu darasani. Kwenye somo jipya la civic and moral diamond ametumika sana kama mfano mzuri wa watoto...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Kwa Wazazi: Utapeli wa English Medium upo katika maeneo yafuatayo

    Mpo Salama! 1. Waalimu kulipwa mishahara Duni Unapopeleka mtoto English Medium au shule yoyote Jambo la Kwanza Kabisa lazima uulize mishahara ya waalimu. Wanalipwaje? Mshahara wa Mwalimu ni kiashiria namba Moja kuonyesha mtoto wako atapata Elimu Bora. Matokeo ya mitihani huweza kupokwa. Mtu...
  10. adriz

    Miongoni mwa sababu za Elimu ya Tanzania kuonekana duni na ya kukaririshana tu

    Moja kwa moja.. 1. Kusovu past papers imekuwa dili kwa Wanafunzi Kumekuwa na misemo maswali au mitihani inajirudia na hili ni ukweli ambao hauna shaka. Unakuta Wanafunzi pamoja na walimu wanawekeza muda wao sio kusoma kuelewa bali kusovu mitihani ya Taifa iliyopita kwa lengo kuu ni kuwa...
  11. Mindyou

    Hizi ndio nchi barani Afrika zenye idadi kubwa ya watoto ambao hawapo shuleni (Out Of School Children). Nchi namba 3 itakushangaza!

    Wakuu, Hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa UNESCO limetoa ripoti mpya inayoelezea kwa undani idadi ya watoto ambao wanastahili kuwepo shuleni lakini kwa sababu tofauti tofauti hawapo shuleni. Soma pia: Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema) Kulingana...
  12. J

    Kauli za kisiasa zinavyoaribu elimu ya Tanzania

    Mastaajabu hayajapoa katika sekta ya elimu nchini. Ukisahau walimu wa UPE miaka ile ya 1970 au wale wa ‘Voda Fasta miaka ya 2000’, utakutana na uamuzi wa kufuta masomo ya kilimo na michezo. Hii ndiyo sekta ya elimu ambayo kwa miaka nenda rudi, baadhi ya maamuzi yanayofanywa na watendaji...
  13. Gulio Tanzania

    Elimu ya shule ya msingi ndio imeleta matokeo makubwa kwa watanzania wengi kujiajiri

    Nimekuletea kitabu hichi Cha darasa la saba utakubaliana na mimi shughuli nyingi zinazofanywa na watanzania wengi kwa sasa Napendekeza somo hili lingeanza kufundishwa wanafunzi wa secondary ingeleta tija sana
  14. T

    Watanzania wengi hatujui kujenga hoja (Make a Case): Ebu msikilize Profesa Kitila Mkumbo akijenga hoja

    This goes without say. Hata humu ndani ya jumuiya yetu ya jamii forum utagundua udhahifu mkubwa sana kwenye suala la namna tunavyojenga hoja, au kujibu hoja, au kutetea hoja. Suala la kujiuliza ni zipi sababu za udhaifu wetu huu mkubwa? je ni elimu yetu mbovu? je ni jinsi tulivyokuwa groomed? je...
  15. I

    SoC04 Mabadiliko yanahitajika katika mfumo wa elimu ya Tanzania katika miaka kadhaa ijayo

    Katika elimu ya chuo kikuu. 1: Kwenye mfumo wa elimu ya chuo kikuu kwa sasa mwanafunzi anapoanza chuo huwa anasoma masomo mengi tofauti tofauti ambayo mengine ni nje ya kile ambacho amelenga kukisomea. Kwa maoni yangu mimi naona pale mwanafunzi anapoanza chuo kwa mwaka wa kwanza ningeshauri kuwa...
  16. BOB LUSE

    Elimu ya Tanzania siyo bure, CCM someni alama za Nyakati

    Watanzania wamesoma, miaka takribani 60 Sasa toka uhuru .sio wajinga kwakuwa ni wakimyaa wanaopenda kushughulikia na mambo yao yasiohusu siasa,japo maisha yenyewe ni siasa. Ni jambo la Hatari kufikiria mtu aliyekaa kimyaa kuwa ni Mjinga. Watu wanaonufaika pakubwa na chama na Serikali ni familia...
  17. W

    Nini kifanyike ili elimu ya Tanzania iende na mahitaji ya soko la Ajira?

    Habari wakuu, nina marafiki wengi walio hitimu chuo mwaka jana lakini mpaka sasa wanahangaika sana na suala la ajira. Nimekuja kugundua kwamba elimu ya Tanznaia haizingatii mahitaji ya soko la ajira kwa sasa na bado tunatumia elimu ya wakolonia aisee. mimi ningeshauri hatua zifuatazo zifanyike...
  18. Tajiri wa kusini

    Elimu ya Tanzania ina shida gani? Eti Physics, Kiswahili na Geography nayo ni combination moja

    Lengo ni nini? Haya maamuzi yamefanyika kwa kushirikisha wataalamu kweli? Tunakusudia kujenga taifa la aina gani? Mtu akisoma Physics, Kiswahili na Economics (PKE) anaadaliwa kuwa nani? Au anayesoma Chemistry, Comerce na Mathematics (CCM) mnamuandaa kuwa nani kama sio kuwa chawa? Nadhani idadi...
  19. H

    SoC03 Mfumo wa elimu ya Tanzania una cha kujifunza kutoka mitaala ya kimataifa?

    Kutoka katika fukwe za Bahari ya Hindi hadi katika kilele cha mlima Kilimanjaro, Tanzania imejawa na utajiri wa asili, tamaduni mbalimbali, na watu wenye upeo mkubwa. Lakini katikati ya haya yote, kuna hazina isiyoweza kulinganishwa na chochote: elimu ya Tanzania. Elimu, kama msingi wa maendeleo...
  20. Nunias Mathayo

    SoC03 Elimu ya Tanzania iwe ni msingi bora wa kuimarisha maendeleo ya kiuchumi kisiasa na kijamii kupitia fursa mbalimbali

    ELIMU NI MSINGI BORA WA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZA KIJAMII ,KISIASA NA KIUCHUMI KUPITIA MFUMO WA ELIMU TANZANIA ELIMU ni maarifa yanayopatikana kwa njia ya kujifunza au kusikiliza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingne ili kuwa na uelewa juu ya jambo flani linalohusu jamii,uchumi na siasa...
Back
Top Bottom