Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Ndio unaweza ukatumia dish LA dstv kwa kisambuzi cha Azam
Mkuu Masasi nilimaanisha kutumia dish la Dstv na decoder ya kawaida.
Mfano mm ninatumia Dstv na ninanayo decoder ya Mediacom 930Plus.
Je naweza kuzpata hzo chaneli za bure?
Kama ndio, naomba kujuzwa kdgo how to do.

Asante
 
Mkuu Masasi nilimaanisha kutumia dish la Dstv na decoder ya kawaida.
Mfano mm ninatumia Dstv na ninanayo decoder ya Mediacom 930Plus.
Je naweza kuzpata hzo chaneli za bure?
Kama ndio, naomba kujuzwa kdgo how to do.

Asante

Haiwezekani tafuta rcva mpeg4 inafaa hiyo Mediacom 930plus MPEG 2 haifaai
 
Haiwezekani tafuta rcva mpeg4 inafaa hiyo Mediacom 930plus MPEG 2 haifaai

Asante sana kiongozi.
Nilijaribu kila chanel iliyoingia ilionekana ni ya kulipia.
By the way Mpeg4 yoyote ni mzuka hata ya kichina? Maana hawa macho madogo sometimes wana mauzauza.
 
Asante sana kiongozi.
Nilijaribu kila chanel iliyoingia ilionekana ni ya kulipia.
By the way Mpeg4 yoyote ni mzuka hata ya kichina? Maana hawa macho madogo sometimes wana mauzauza.

Hbr ya sikukuu
Bahati
Jarbu tu bidhaa nyingi dukani nkubahatisha.Ila ikipata Strong srt 4922 hii bna ni mashine bna
 
continental tena wamerudisha freq ya zamani.kwa wale wa amos5 10973 v 30000 blindscan and enjoy. vilevile hapohapo amos5 kuna chanel mpya ya wasabato morningstar tv 12418 v 30000 blindscan and relax
 
Anaye uliza bei nasikia dar ni elfu 95 lakn kwa sababu ya biashra huria kila mkoa una bei yake mfano mimi niko mwnza na ninayo hiyo decoder.wauzaji wa mz wanuza laki moja na elfu arobaini na saba. ninzur lkn usipo lipia elfu kumi na mbili na mia tano ya kila mwezi wanakutumia sms ya kukutishia kukukatia channels zote za bure yani km vile tbc; itv; channel ten; eatv.kwa kifupi Azamtv ni ukitaka uienjoy nj lazma uwe na kipato cha kueleweka brazaaaa...nataka kuza ya kwangu....kama uko ndani ya mwanza na unahitaji azamtv tuwasiliane kwenye namba 0755520228.
 
Hivi ukielekeza dish la azam uelekeo wa dstv je unaweza pata za fta chanel za dstv na je ule uelekeo wa dstv ni east au west ? Maana naona yameelekea kaskazini....
 
Hivi ukielekeza dish la azam uelekeo wa dstv je unaweza pata za fta chanel za dstv na je ule uelekeo wa dstv ni east au west ? Maana naona yameelekea kaskazini....

mkuu dstv haibiwi mkuu.hakunna chanel yoyote fta uelekeo wa dstv.dstv wap0 east
 
Jana Azam kwa mara ya kwanza wameonesha mpira Bayern vs Man utd all stars, maajabu...!
 
Back
Top Bottom