Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Hivi tofauti na amos5 at 17, ni sat ipi ingine naweza pata fta(local) za hapa bongo kupitia dish dogo??
 
DTV ndani ya azam tv itaonyesha uefa leagues(champion league and europa cup) au right ya kuonyesha ilikuwa ya startimes.

vizur zaid ungefafanua uefa ck gan za wiki na europa ck zip?au mechi zote?
sisi wengne ndo tnaanza kuiona dtv.
 
Inatakiwa kufanya nini ku reply post ya mtu humu jf bila maneno ya kwenye post yake kujirudia?
 
1.Azam TV decoder inatumia pia HDMI cable pia ingawa hakuna hata Channel moja ya HD, ila channel zao zina qaulity nzuri kuliko decoder nyingine za Bongo. Wafanyakazi wa Azam TV ukiwauliza mna HD watakujibu ndio ingawa hakuna nadhani hii ni kwa sababu hawajui maana ya HD. Pia channel zao hazigandigandi kama Startimes na wengine.

2. Azam 1 na Azam 2 ndio channel zinazoonyesha VPL mechi mbili kwa pamoja. HAta mechi zinazochezwa mikoani zinaonyeshwa kulingana na uzito wake. Hii ndio kitu inayowafanya watu wengi waipende.

3. Azam TV inaonekana nchi zote kusini mwa jangwa la Sahara. Hii kitu itawafanya wauze sana hasa kwa watanzania wanoishi nchi hizo.

4. Azam TV haina ITV na Star TV. Bado kuna kubaniana na akina Mengi labda na wao wanataka wapewe hizo za Azam 1 & 2 channels kwenye decoder zao.

5. Kwa ujumla Azam TV itauza sana kwa sababu ya kutumia satellite na pia ina channel karibu zote za Kenya na Uganda hivyo watanzania, wakenya na waganda popote walipo kusini mwa sahara wataitaka tuu.

azam tv dawa yao
 
Wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.

UPDATE...
................................

Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.

12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.


Jamani wajuvi naomba kujua haya maelezo bado yanafanya jazi kesho asbh nifanye kazi hiii...
 
Azam washasanukia dili arifu. Sattelike nilizoadd zote na chanel zake wamefuta wenyewe juu kwa juu. What else nitafanya nicheki epl?
 
Azam washasanukia dili arifu. Sattelike nilizoadd zote na chanel zake wamefuta wenyewe juu kwa juu. What else nitafanya nicheki epl?

Unatakiwa kuziadd tena zitashika ,walichofanya Azam ni ku upgrade software yao lakini bado inaweza kuingiza satellite nyingine
 
Wengine hatujui hata kinachoendelea kwenye ulimwengu wa Tv na ving'amuzi. Mimi nipo na Jamiiforum, mahali nilipo Tv ni kama hadithi. Jambo pekee ninalojifunza hapa ni kuwa mambo ya ving'amuzi ni gharama, usumbufu na pasua kichwa.
 
Back
Top Bottom