Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

star movies zote free kwenye azam tv... 11938v27500 changamka kabla hazijatowka

Unakimbilia wapi? Kamilisha taarifa basi. Hizi frequencies tunaingiza kwenye position ipi? 5 au 7 degrees East?
 
ok Mr Ndanda, ngoja nijaribu kisha nitaleta mrejesho. Ila je ni zipi utakazozipata.....

Joseph
Hbr za asubuhi
Hapo utapata Itv,startv bunge startv music, startv habari ,tbc,channel 10,clouds tv,eatv ,capital tv na nyingine tu
 
Joseph
Hbr za asubuhi
Hapo utapata Itv,startv bunge startv music, startv habari ,tbc,channel 10,clouds tv,eatv ,capital tv na nyingine tu

Assante Mr Ndanda, na je setting zingine katika hiyo sat zinabaki default kama ile ya azam isipokuwa hiyo position na nyuzi tu?? Na pia adjustment ya dish linashuka chini au linapanda juu kidogo??
Natanguliza shukran
 
Assante Mr Ndanda, na je setting zingine katika hiyo sat zinabaki default kama ile ya azam isipokuwa hiyo position na nyuzi tu?? Na pia adjustment ya dish linashuka chini au linapanda juu kidogo??
Natanguliza shukran

Joseph
Dish linasogea kulia 3cm kutoka engo ya Azam pkge kisha betua juu kdgo .swali LA kwanza maliza kusett dish upate cgno hayo utayaona
 
Thanks mkuu baada ya kuingiza frequencies nimepata machaneli mengi sana including hizo SABC's,eTV lakini tatizo hazionyeshi,zipo tu kwenye list kama zile za rodrigues.Zinazoonyesha ni tatu tu UBC,MBC eti na TBC!Nasikitika KBC hata kwenye list tu haipo.Thanks!!

mi nimejaribu nimeshindwa kuzipata..... Signal yake intensity inasoma ngapi na quality yake ngapi??
 
Joseph
Dish linasogea kulia 3cm kutoka engo ya Azam pkge kisha betua juu kdgo .swali LA kwanza maliza kusett dish upate cgno hayo utayaona

mmhh nimeshindwa kaka... Nilitegesha hapo 17 degree east, nimezungusha sana dish lakini hakuna signal yeyote. Unapozungusha kulia kidogo hizo 3cm unakuwa wapi, nyuma au mbele ya dish?? Naomba maelekezo zaidi namna ya kupata signal hapo za 17 degree
 
mmhh nimeshindwa kaka... Nilitegesha hapo 17 degree east, nimezungusha sana dish lakini hakuna signal yeyote. Unapozungusha kulia kidogo hizo 3cm unakuwa wapi, nyuma au mbele ya dish?? Naomba maelekezo zaidi namna ya kupata signal hapo za 17 degree

Nyuma ya dish .juu chini 40 signal
 
Nyuma ya dish .juu chini 40 signal

mmh ngoja nitamtafuta fundi na kumpa maelekezo. Nina receiver ya mediacom na pia decorder ya azam kwa upande wa dish nina dish la azam. Kutafuta signal ndio kazi. Naomba namba yako kaka Ndanda!
 
Haya jamani wale walioshindwa kulipia Azam kama mimi twendeni sawa hapa....
Ukiwa na azam kupitia
Amos5 @17 East kwa kutumia
Freq 10970V 30000 utapata chanel 21 ambazo ni......
Star tv africa
itv
eatv
capital tv
tbc1
chanel 10
star muzik
citizen tv
dw tv
france 24
clouds tv
voa tv
bbc world
cctv 9
star E+
hope tv
emanuel tv
africa tv
star bunge- tz
aljazeera
program 23

Jaribuni na mfurahie hii burudani kwa woteeeee
Shukrani nyingi sana kwa Braza
###Ndanda Masasi!

Je inawezekana kuziingiza ktk king'amuzi cha Zuku? Je hizo frequency unaziingizaje?
 
Haya jamani wale walioshindwa kulipia Azam kama mimi twendeni sawa hapa....
Ukiwa na azam kupitia
Amos5 @17 East kwa kutumia
Freq 10970V 30000 utapata chanel 21 ambazo ni......
Star tv africa
itv
eatv
capital tv
tbc1
chanel 10
star muzik
citizen tv
dw tv
france 24
clouds tv
voa tv
bbc world
cctv 9
star E+
hope tv
emanuel tv
africa tv
star bunge- tz
aljazeera
program 23

Jaribuni na mfurahie hii burudani kwa woteeeee
Shukrani nyingi sana kwa Braza
###Ndanda Masasi!

Mkuu kumbe continental decorder wanatumia hiyo amos sat. coz hizo ndio channel zilizopo kwenye continental. zote hapo zipo
 
mmhh nimeshindwa kaka... Nilitegesha hapo 17 degree east, nimezungusha sana dish lakini hakuna signal yeyote. Unapozungusha kulia kidogo hizo 3cm unakuwa wapi, nyuma au mbele ya dish?? Naomba maelekezo zaidi namna ya kupata signal hapo za 17 degree

kutoka wa azam ukiwa nyuma ya dish lipandishe juu kidogo mkuu kisha kulia kidogo mno mambo yatajipa na hutatamani kurudi azam. nb ni vizuri ukatumia receiver tofauti na ya azam
 
Back
Top Bottom